Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Mwanza pananoga 😀😀Chief ni mwendo wa kumenya mkoa kwa mkoa tu! Aisee trip moja ya Mwanza lazma tupande wote kule
Mwanza pananoga 😀😀Chief ni mwendo wa kumenya mkoa kwa mkoa tu! Aisee trip moja ya Mwanza lazma tupande wote kule
Hahah wajane ni wengi! Vipi ushadondoka hapo mujini MZA. Recreation centreMwanza pananoga 😀😀
Nipo dodoma mkuu, badae nakuja Dar es Salaam 😀😀😀Hahah wajane ni wengi! Vipi ushadondoka hapo mujini MZA. Recreation centre
Aisee karibu sana ila hakikisha umetia viatu vipya mzee katika chombo. Usitie Goodride tu utafeli hapo ni Pirelli ama Michelin za mwaka huu huu! Kwa speed za kufuta sahani 260kph tutakuwa salama kwa muitaliano ama mfaransa tu!Nipo dodoma mkuu, badae nakuja Dar es Salaam 😀😀😀
Kuna gari zina sensor kabisa.Matairi ndio yananipa speed limit, kuna mwendo nikifika tu nakumbuka matairi yangu hayana guarantee!
Eti!Mkuu hii jana nimefuta sahani, nikashangaa watu wanao sema huwa hazifiki hadi mwisho 😀😀😀
Inatoboa vizuri sana tuDar mpaka Musoma kwa IST itafika kweli?
Mimi natumia common sense tu. Hakuna kitu kizuri kama kujua limits zako. Kila gari ninanyoendesha najitahidi nijue limits zake na si kufuata kisahani au ligi na mtu.Kuna gari zina sensor kabisa.
Tyre pressure ikiwa ndogo inakulimit kwenye speed na kukupigia alarm. Au kama unatumia tyres ambazo hazipo recomended nako zinakupigia alarm kwamba usizidi hiyo speed.
Nyie watu hebu acheni balaa.Aisee karibu sana ila hakikisha umetia viatu vipya mzee katika chombo. Usitie Goodride tu utafeli hapo ni Pirelli ama Michelin za mwaka huu huu! Kwa speed za kufuta sahani 260kph tutakuwa salama kwa muitaliano ama mfaransa tu!
Hahahah kaka kidude kinashawishi sana af ile mambo ambayo mzungu amefanya kuweka quattro ni full umeme apo road! My love for Audi has come into life 😅😅😅Nyie watu hebu acheni balaa.
Mpiga picha alikuwa Extrovert ?Tabora moja hiyo 😀😀😀View attachment 1813237
Dar mpaka Musoma kwa IST itafika kweli?
Duh siku moja ni saa 24 mkuu
Hahahah kaka kidude kinashawishi sana af ile mambo ambayo mzungu amefanya kuweka quattro ni full umeme apo road! My love for Audi has come into life 😅😅😅