Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kuna gari zina sensor kabisa.

Tyre pressure ikiwa ndogo inakulimit kwenye speed na kukupigia alarm. Au kama unatumia tyres ambazo hazipo recomended nako zinakupigia alarm kwamba usizidi hiyo speed.
Mimi natumia common sense tu. Hakuna kitu kizuri kama kujua limits zako. Kila gari ninanyoendesha najitahidi nijue limits zake na si kufuata kisahani au ligi na mtu.
 
Back
Top Bottom