ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,280
- 15,315
Kwanini mkuu? Ilikufa carburetor? TVS hawana dukani?Apache ni balaa. Sema caburator yake upatikana umenitesa sana
Kwanini mkuu? Ilikufa carburetor? TVS hawana dukani?Apache ni balaa. Sema caburator yake upatikana umenitesa sana
Tumia ile BypassKwa ujumla uzuri wa hii barabara kuweka speed limit 50 ni kuonena tu..
Pale Sangsi inapoanzia na kuishia Sakina ni almost KM 14+,
Km zote hizo ni 50kph..
ilikuwa infloat mara kwa mara. Nikanunua repair kit, fundi akazingua. Nikanunua carburator mpya muda wote ina mafua.Kwanini mkuu? Ilikufa carburetor? TVS hawana dukani?
View attachment 1755913
picha ya @Boing 747
mimi hilo eneo pia nina mkosi nalo, kuna jamaa wanajificha kituo cha Chama pembeni ya geti la Mtei Ogaden Estate hawataki 10 kabisa, nimetermka toka Tengeru ndio naianza double road wakanizoom 65km.h nikabembeleza mpaka 15 nikaona nipokee tu cheti 30,000
basi safari nzima mpaka Dodoma nikawa mnyonge nisijepokea cheti kingine
Sometime nijiachia kuleTumia ile Bypass
Tochi ziko mbili tu tokea mwanzo mpaka kule EngaremtoniSometime nijiachia kule
Yangu nikiweka stand ndogo ina float, fundi wameishindwa I guess maana wamejaribu sana na wakanionya nisinunue carburetor mpya... it seems they were right judging from your experience.ilikuwa infloat mara kwa mara. Nikanunua repair kit, fundi akazingua. Nikanunua carburator mpya muda wote ina mafua.
Nikaja kupata carburator used Nairobi mashine imetulia sasa
Hii ni 79 series bila shaka 1VD-FTV V8Chombo ikinywa mafuta tayari kwa kuitafuta MwanzaView attachment 1748021
Tufafanulie kidogo mkuu..Pisi zibarikiwe milele wakuu!
Trip ya leo Dar to Dom nikasema lazima niweke pisi kushoto ndio kitaeleweka. Na ikawa hivyo.
Matokeo yake gari imeaverage 11km/l, hii ni engine ya petroli cc3500 ambayo nimezoea kutumia 8km/l highway.
Lazima nimtafute nimtoe hata lunch kwa pesa aliyonisave kwenye mafuta!
Nadhani itakua hakuendekeza mibio so rpm ikawa inacheza 'economy' mwanzo mwishoTufafanulie kidogo mkuu..
Hii pisi ilisaidiaje kusevu mafuta..?
Au ilikojolea kwenye tank..?
Yawezekana..Nadhani itakua hakuendekeza mibio so rpm ikawa inacheza 'economy' mwanzo mwisho
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mguu ulikuwa mwepesi aisee hautaki kabisa kukanyaga... nilikuwa natembelea 90 - 100 safari isiishe bila ya kuwa tumefika mahala flaniTufafanulie kidogo mkuu..
Hii pisi ilisaidiaje kusevu mafuta..?
Au ilikojolea kwenye tank..?
Safari ya namna hiyo huwa inaonekana fupi sana...Mguu ulikuwa mwepesi aisee hautaki kabisa kukanyaga... nilikuwa natembelea 90 - 100 safari isiishe bila ya kuwa tumefika mahala flani
Ni burudani maridhawaSafari ya namna hiyo huwa inaonekana fupi sana...
Kitu nimegundua ni kwamba Kenya walianza tumia TVS zamani sana. Spare parts kule ni nyingi.Yangu nikiweka stand ndogo ina float, fundi wameishindwa I guess maana wamejaribu sana na wakanionya nisinunue carburetor mpya... it seems they were right judging from your experience.
Naishi nayo hivyo hivyo... kila nikipaki nikaweka stand ndogo nafunga mafuta. Otherwise haina shida.
Acha wivu kwa wenye SUVWale wa sedans inabidi muipite njia ya Manyoni to Tabora kwa kupitia Itigi. 250km za lami mpya haina mashimo na ina curves tamu mno zile za kupita na spidi kali kwa kufuata 'racing line' plus S curves za kutosha.
SUV lovers poleni sana kuna kitu mnakosa
Mkuu kama naona wivu kula S curves za hiyo barabara ukiwa 160 na Harrier au Prado ulete mrejesho.Acha wivu kwa wenye SUV
kipande kingine piga Nzega pale hadi Tabora mjini, barabara haina tuta.. na haina magari mengi, unafunguka tuuWale wa sedans inabidi muipite njia ya Manyoni to Tabora kwa kupitia Itigi. 250km za lami mpya haina mashimo na ina curves tamu mno zile za kupita na spidi kali kwa kufuata 'racing line' plus S curves za kutosha.
SUV lovers poleni sana kuna kitu mnakosa