Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Kama drone ya us na ndege ya mrusi etiKutaneni M4 Junction 10 myajenge.

Kama drone ya us na ndege ya mrusi etiKutaneni M4 Junction 10 myajenge.

Hivi kwa vimaneno vyake huwa anapata wateja kweli!!!!???Kwa mtaalamu hata ukiwa na laki nane unapata gari 😅😅.. kama hii unajipangia bei.. kuwa na gari siku hizi rahisi sanaView attachment 2550098
Anapata wateja wengi tu, sema kule bahati nasibuHivi kwa vimaneno vyake huwa anapata wateja kweli!!!!???
Hizi caption zake ndo zinavuta watu wengi kwa Sossy...jamaa anajua kucheza na audienceAnapata wateja wengi tu, sema kule bahati nasibuView attachment 2555333



Hahaha, niliona ile post. Ila nimeshangaa lile tank wanauzwa million 29 na ni namba DWS na kwenye picha limenyooka sana.Hizi caption zake ndo zinavuta watu wengi kwa Sossy...jamaa anajua kucheza na audience
Niliona post moja anauza Lori la kuzoa maji taka anakwambia wanakupa na mavi ya kuanzia kazi![]()
Nadhani litakua spana mkononiHahaha, niliona ile post. Ila nimeshangaa lile tank wanauzwa million 29 na ni namba DWS na kwenye picha limenyooka sana.

Ikipiga honi hata kama umelala lazima uisikie mpaka ndotoni 🤣🤣Treni lilivyo na makelele hivyo jamani🤣🤣
Ila hiyo safari ya treni mwenyewe naitamani, full kuenjoy njiani
Kama usingizi umekolea unaweza tamani kulia😂Ikipiga honi hata kama umelala lazima uisikie mpaka ndotoni 🤣🤣
Pole yao..tuwaombee wapate nafuuNyieee
Kuna wale wazee wa kufungia breki zero distance kwa gari iliyo mbele yake.
Hiyo kitu sio nzuri… siku breki zinaweza kukukataa ukajikuta uvunguni mwa gari.
Vimewakuta ndugu zangu hivyo
Alhamdullilah, wote wako salama, mmoja tu aliumia kidogo.



😄Kutaneni M4 Junction 10 myajenge.


napita makambako hapa muda huu uelekeo ni Mbeya from Tunduru. Inapuliza sio mchezo