kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,901
- 7,369
AiseeSimiyu hiyo,mark X janaView attachment 2519879
AiseeSimiyu hiyo,mark X janaView attachment 2519879
Sana sanaMwendo kasi haujawahi kuwa salama wakuu....tunawaacha wanaotutegemea kwenye ma,ingira magumu sana.
Yani sana engine imekuwa kama mkaa huyo driver alikuwa speed kubwa mno ukizoom unaona damu kwenye lami, so sad aisee.Duh huo uharibifu lazima chombo ilikuwa mwendo mkali sana
M naona kama ni kingo ya barabaraHili chuma ni part ya gari au sehemu ya kingo za barabara?View attachment 2520092
Kwa uharibifu lazima chima ilikuwa speed kubwa, siuna jua tena mtu ana mark x second generation lazima aitupe sana ili akifika tambo ziwe nyingi.Yani sana engine imekuwa kama mkaa huyo driver alikuwa speed kubwa mno ukizoom unaona damu kwenye lami, so sad aisee.
View attachment 2520108View attachment 2520107Ajali mbaya sana hii wale wanaomini Mungu ni vyema kumuomba Mungu atulinde na kutuepusha na hizi balaa za barabarani na kwingineko, hatari sana hii.M naona kama ni kingo ya barabara
Ni kweli kabisa..... tusiache kumtanguliza Mungu zen tahadhar ichukue nafasi yakeAjali mbaya sana hii wale wanaomini Mungu ni vyema kumuomba Mungu atulinde na kutuepusha na hizi balaa za barabarani na kwingineko, hatari sana hii.
Fikiria hawa waliopata ajali aisee kifo ni fumbo gumu unaamka fresh baada ya muda taarifa mbaya zinakuja daah!! Unaweza ukawa makini na kuchukua tahadhari zote ukasababishiwa na driver mwingine.
Ni Mungu tu anaeweza kutunusuru.
Possible barabarani lolote linaweza kutokea na kama ulivyosema alikuwa upande wake, na balaa limemkuta huko huko. Hizi barabara ifike mahali mamlaka iweke lane mbiliUnaweza kuta alikuwa mwendo wa kawaida tu akavamiwa na lori
Nadhani hyo itasaidia kwa kiwango kikubwa sanaPossible barabarani lolote linaweza kutokea na kama ulivyosema alikuwa upande wake, na balaa limemkuta huko huko. Hizi barabara ifike mahali mamlaka iweke lane mbili
Kijana mdogo sana aiseeChuma kama imepigwa bomu vileView attachment 2520118
Halafu hizi ma-airbag kumbe hazisaidii kwenye mshindo heavy na sioni hata kama zimedeployChuma kama imepigwa bomu vileView attachment 2520118