Sorry is a sorry worD..Kweli jamaa fundi, kuna ngoma yake inaitwa "Superman" naweza kuisikiliza yenyewe tu siku nzima
dah najaribu kujenga picha kichwani unapokua ukisikiliza wimbo huu unakua kwenye hali gani? maake ni veeeery sweet.Daville - mirrors
kuna kitu inaitwa Most IKuna riddim kibao tuu zimetoka lakini nakushauri umsikilize jamaa anaitwa chronixx waimbo unaitwa sweet skanking
ani mpaka nahisi sipo dunianidah najaribu kujenga picha kichwani unapokua ukisikiliza wimbo huu unakua kwenye hali gani? maake ni veeeery sweet.
yuh right breddaAsante kwa huu uzi nami ni mdau na asilimia 80 ya play list yangu ni muziki from jamaica. Ila kuna kitu naomba tuwekane sawa kama niko wrong mnielimishe! Nijuavyo riddim ni beat inayopewa jina then wasanii wanaipitia beat hyo kuoka ktk studio au producer au dj husika mmiliki wa hyo beat, pia yaweza kuwa ni track ya artist ambayo wasanii wengine wameipenda beat yake na kuipitia! Sasa basi tunapotaja jina la music ni vizuri tukataja na jina la riddim yake other wise ni single tuun mfano nawapa. Kuna jamaa anaitwa Rasun-track inaitwa Hard to Walk away ipo katika riddim ya Live in love. So ukisearch jina la hyo riddim ya live inb luv utakutana na pin kibao nzuri za wasanii wakali! Mi naikubali hyo ya Rasun vibaya sana! So kama nipo sahii niambieni niwashushie majina ya Riddim kibao ambazo utakutana na wasanii wengi na ni njia nzuri ya kumpata msanii umtakae kama utajua kapita ktk Riddim ipi. Mfano hyo comfortzone ya busy ipo ktk riddim ya Big stage riddim! Ni hayo tuu 1luv 4all riddimer!!
Ni mwisho wa kila kity mkuuMorgan Heritage wakiwa na Peeter Morgan hatari sana,Chriss Martian ana ngoma moja inaitwa Mama,aisee sweet reggae ni mwisho
Acha kabisaNi mwisho wa kila kity mkuu
Country bus ni my best riddimCountry bus riddim