Wazee wa riddim...!!!

Kuna jamaa anaitwa Demarco na ngoma yake Link up.Pia jamaa mmoja aitwaye Conkarah ana ngoma za hatari.Mcheki Jah Cure na ngoma kama wake up,that girl na from my heart
 

Ukianza kuisikiliza kisha ukarusha ngoma hata moja niambie nikurudishie bando lako.
Hii ni playlist ya majirani zangu wapende ama wasipende watasikiliza tu.
 

nyingine hiyo jamaa walifanya kazi jamani, yaani mimi bongo fleva kusikiliza ni sawa na kutembelea jukwaa la siasa hapa JF{Najitahidi ila siweziiiiiii}
 
Asante kwa huu uzi nami ni mdau na asilimia 80 ya play list yangu ni muziki from jamaica. Ila kuna kitu naomba tuwekane sawa kama niko wrong mnielimishe! Nijuavyo riddim ni beat inayopewa jina then wasanii wanaipitia beat hyo kuoka ktk studio au producer au dj husika mmiliki wa hyo beat, pia yaweza kuwa ni track ya artist ambayo wasanii wengine wameipenda beat yake na kuipitia! Sasa basi tunapotaja jina la music ni vizuri tukataja na jina la riddim yake other wise ni single tuun mfano nawapa. Kuna jamaa anaitwa Rasun-track inaitwa Hard to Walk away ipo katika riddim ya Live in love. So ukisearch jina la hyo riddim ya live inb luv utakutana na pin kibao nzuri za wasanii wakali! Mi naikubali hyo ya Rasun vibaya sana! So kama nipo sahii niambieni niwashushie majina ya Riddim kibao ambazo utakutana na wasanii wengi na ni njia nzuri ya kumpata msanii umtakae kama utajua kapita ktk Riddim ipi. Mfano hyo comfortzone ya busy ipo ktk riddim ya Big stage riddim! Ni hayo tuu 1luv 4all riddimer!!
yuh right bredda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom