donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
- Thread starter
- #41
Busy signal one more night, reggae music again
si tattus ila TARRUS rilley,"my Day" ukianza nayo siku hii ngoma inakupa vibes za kujihisi wa pekee, Unapata hope zaiDi, Unahamasika ktk kile Unachokifanya
Jamaa funDi
Demarco- fallen friends
Version-live the dream
Umetisha sana mkuu na uko sahihi plz dondosha vituAsante kwa huu uzi nami ni mdau na asilimia 80 ya play list yangu ni muziki from jamaica. Ila kuna kitu naomba tuwekane sawa kama niko wrong mnielimishe! Nijuavyo riddim ni beat inayopewa jina then wasanii wanaipitia beat hyo kuoka ktk studio au producer au dj husika mmiliki wa hyo beat, pia yaweza kuwa ni track ya artist ambayo wasanii wengine wameipenda beat yake na kuipitia! Sasa basi tunapotaja jina la music ni vizuri tukataja na jina la riddim yake other wise ni single tuun mfano nawapa. Kuna jamaa anaitwa Rasun-track inaitwa Hard to Walk away ipo katika riddim ya Live in love. So ukisearch jina la hyo riddim ya live inb luv utakutana na pin kibao nzuri za wasanii wakali! Mi naikubali hyo ya Rasun vibaya sana! So kama nipo sahii niambieni niwashushie majina ya Riddim kibao ambazo utakutana na wasanii wengi na ni njia nzuri ya kumpata msanii umtakae kama utajua kapita ktk Riddim ipi. Mfano hyo comfortzone ya busy ipo ktk riddim ya Big stage riddim! Ni hayo tuu 1luv 4all riddimer!!
Kuna ngoma.inaitwa sorry is a sorry word.ni shida piaKweli jamaa fundi, kuna ngoma yake inaitwa "Superman" naweza kuisikiliza yenyewe tu siku nzima
itafute pull over kama sijakosea