goja nitoke nane niende nine. Ni simu zuri aanaNaikubali pixel kuliko samsung.
So wadada waandae pain killer 😎Siku ya leo tar 20 August, Google wamezindua simu zao za Google Pixel kupitia event yao ya Made by Google 2025.
View attachment 3447462
Baadhi ya simu zilizozinduliwa ni Pixel 10, Pixel 10 Pro, Pixel 10 Pro XL, na Pixel 10 Pro Fold.
View attachment 3447460
Mbali na simu, Google wamezindua pia Pixel Watch 4 Smartwatch na Bud 2a earpods.
View attachment 3447461
Event ya Google iliudhuriwa na watu mashuhuri wengi ila kivutio wakiwa ni mkali wa NBA Stephen Curry, Dereva wa F1 wa McLaren Lando Norris na wakali wa Pop Jonas Brothers.
View attachment 3447464
Pixel 10 sahivi zina camera 3 sio 2 kama 9 za mwaka jana (telephoto camera imeongezeka).
Pixel 10 Pro na Pro XL hazijatofautiana sana na za mwaka jana zaidi ya kuboreshwa features tu.
View attachment 3447463
Pixel 10 Pro Fold nayo haijatofautiana sana na model ya mwaka jana, ila bei yake shikamoo, inafika hadi Mil 5.5!
Ni piece of art...goja nitoke nane niende nine. Ni simu zuri aana
Wadada ni Iphone ambayo ni 17 series ndio iko Njiani, Yani mpaka tufike 20 series watakuwa hakuna hata linda mojaSo wadada waandae pain killer 😎
Yeah ata mimi 8 series nazielewa sana. Nitaishi na Plain2023 nilinunua pixel 4a 5g kwa Tsh 400k naitumia mpaka sasa.
Mwaka huu 2025, hii pixel 4a 5g inauzwa chini ya 320k na ukiwa na 400k unapata pixel 6 🙌
Anyway, mm naikubali sana pixel 8 pro, ngoja ishuke mpaka 500k ntainunua 😎
Yah Hata muonekano wake umekaa unyama sanaYeah ata mimi 8 series nazielewa sana. Nitaishi na Plain
UI ya Pixel ipo simple sana maybe M3E itaibadirisha maana ukitoka Galaxy kuja pIxel naona unakutana na UI simple sana.Hizi zitatoka tayari zikiwa na Android 16 ambazo user wengine wa pixel kuanzia 6 series tayari tulishapata update ya Android ya 16 tangu June kwasasa tunasubiri Material expressive 3 ambayo yenyewe ndio itakuwa na Update za Interface,
Wali predict kuwa unaweza kuwa out earlier September aisee nilijaribu Beta iko very fine
Pro ni nzuri zaidi na mie ndio naitumia.. Ingawa nahamia 9 pro soonYeah ata mimi 8 series nazielewa sana. Nitaishi na Plain
ni kazi ya ndani hiyo.. Wanaendelea improve kadri siku zaendaHivi Tensor ni in-house zao tu kama A series za iPhones?