Rogate
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 215
- 45
This is a loosing battle, iwe ni diplosia, mahakaman na hata nguvu. Ili tuwe kushinda tunahitaj viongozi bora, swali lamsingi hawa viongozi wetu ni bora?. Kwa ninavowajua wakihakikishiwa % nzuri ya deal la mafuta na Malawi wapo tayar kuuza hata vijiji 2. Ushahid ni ardhi iliyouzwa Loliondo waarabu wanaruka na kutua watakavyo, mikataba ya uzalishaj wa umeme (Dowans, IPTL etc) madini (GGM) na sasa gesi na mafuta Mtwara. Huyo Banda akitumia uzoefu huu atapata hata vijiji 2.