Wazee wa kimyakimya

Wazee wa kimyakimya

ndiyo maisha yalivyo,,,,,,,,

cha muhimu ukiwa na furaha , furahia kwa nguvu zote na ukiwa na huzuni itafute furaha ilipo........

yaani, imenichukua mda kweli kurudia hali yangu, kaniharibia mipango yangu kibao. kaaa! ngoja nifanye mishe zangu tu ila ipocku..
 
hapa napakubaki..kuna ukweli ndani yake wala sibishii
 
nitake radhi ICHANA! hapo nilipo bold yani umenivua nishani yangu kabisa!!

hivi unajua kwanini nimebatizwa jina la excel??

yani mpaka sasa hard disk imejaa majina ya warembo wangu kuanzia mwezi wa kwanza! imagine how dangerous am I!

kuanzia breakfast, lunch, supper, dinner.. lazima niwe na kipozeo pembeni!

afu hawa wakizaramo ndo wazuri aisee!

Excel na wamakonde pia
 
Last edited by a moderator:
Excel na wamakonde pia

hahahaaaa!! wamakonde nasikia ni magogo sana kwenye 6.6!

wanawaza gesi tu sasa hivi....! ukimgegeda tu yeye anaita, gesi gesi gesi! hahahaaaa!!!

sijajua wanamaanisha kwamba tunawaongezea gesi kwenye papuchi ama vipi? lols..
 
Hana kambi maalum hyo..
Mwache kama alivyo

naomba iwe hivyo sweetness..!

mambo ya kunatishwa na under 17 mi siwezi!... we ingia shambani, kata mua, kula, sepa!

uking'ang'ania, its up to you kukutwa na mwenye shamba..!
 
Mkuu una hasira sana. Mlikuwa mnapoteza sasa we ukajisahau ukapotea moja kwa moja. Mwenzako alistuka mapema

mkuu hasira lazima niwe nayo, jitu unaliuliza mara mia mia upo single? linajibu ndio bila hata roho kuuma, aisee hivi roho ya ubinadam ckuiz haipo ee! uongo umekuwa dili yani.. kaaa! yan saiz full kuzama ukucha tu!, awe mtumishi cjui mchungaji wala nani, ukatili tu ndo mtindo mmoja.
 
kweli kabisaaaa, na ndo wanatumia gia hiyo kuwafata wanawake.. ukiliona linajifanya halijui kuongea wala kutongoza kumbe limewapanga foleni leo huyu kesho yule.. kaaa! alichonifanya m.bu.zi mmoja wa dizain hii sitakaa nisahau milele. jitu linajifanya lipoooole kumbe wapi. malipo ni hapa hapa duniani. umenipotezea direction yangu poa, we endelea kula ujana!

Unanionea bhana.
 
hahahaaaa!! wamakonde nasikia ni magogo sana kwenye 6.6!

wanawaza gesi tu sasa hivi....! ukimgegeda tu yeye anaita, gesi gesi gesi! hahahaaaa!!!

sijajua wanamaanisha kwamba tunawaongezea gesi kwenye papuchi ama vipi? lols..

mmh excel ukimaliza jeshi nitafute kuna chimbo la wamakonde tupu ni nouma wana viuno vinazunguka tafikiri vimefungwa mortor halafu'C WACHOYO'
 
Back
Top Bottom