Wazee wa kimyakimya

Wazee wa kimyakimya

Weeee hawa wati nomaaa
Ukweli mtupu lkn sio wote bt wengi wao
 
Utawafahamu tu ni wakimya hawanywi pombe hawavuti sigara hawaendi club kinywaji chao kikuu soda
Ukiwaangalia machoni kama watu lakini maamaaa wee hawa watu ni moto chini kilevi chao kikuu papuchi yani ni mabazazi wamepiliza
Wana uwezo kwa kugegeda mara tatu kwa siku wanawake watatu tofauti
Hawapendi show off girls wao zao ni mahousegirl mamantilie wanafunzi nk nk ,watu wasio na complications wao ndio zao
kama umoja wai pita kimya kimya usitoe povu tafadhali

Kuna ukweli kiasi Fulani, hasa upande wa kuwa na mahusiano na wasichana wengi.
Hii haimaanishi watu wakimya, wasioenda club, wasiokunywa pombe wanapenda tabia za kufanya ngono, la hasha. Wasichana wanafikiri watu wakimya ni waungwana hivyo wanawasaka wakifikiri watapata watu sahihi wa kuwa wenzi wao, na kwa kuwa sio wakimya wote ni waungwana, huzichangamkia fursa na matokeo yake ndio hayo watu wakimya tunaonekana womanizer.
Sio kwamba wanaume wapole na wasiopenda club, pombe na kuvuta wanapenda wasichana, ila wasichana/wanawake wengi wanawawinda hao watu wakidhani watapata watu wamaana, kwa sababu ndio kiu yao.
 
Tabia ya mtu ndo inampekea kupenda papuchi ukweli ni kidogo sana hapo
 
kwa nini nijitia mi najisi kwa kunywa pombe, kuvuta sigara, maisha yangu yote ya ujana nimeyatumia kiwanjani, piga football la hatari, hiyo ndo starehe yangu na sasa hivi ni casual mazoezi, na nikiwa home watching movies na surfing internet, km papuchi mke wangu anayo hata sita kwa siku nagonga, ssa unataka kila mtu ajitie mi najisi hiyo? halafu wengi wanaokunywa na kukimbilia mi sigara hawana nguvu za kiume hilo ni chaka la kujifichia huko, kisingizio pombe
 
Yaani mshana jr hujakosea hawa watu ni mitambo usipime,yaani huo ugonjwa ni wao kabisa.
 
nini?

ina maana mimi nina tabia gani ichana??

Yawezekana mtu akawa mlevi na vilevile kitombi mzuri sana...n mwingine mzee wa kimya kimya na papuchi hazijui au ni kitombi...hii ni tabia sio π 22/7 .

Wewe mzee wa promo za papuchi na ulevi kusaidia Uzi ulete hamu ya kuchangia bt reality sio.
 
Yawezekana mtu akawa mlevi na vilevile kitombi mzuri sana...n mwingine mzee wa kimya kimya na papuchi hazijui au ni kitombi...hii ni tabia sio π 22/7 .

Wewe mzee wa promo za papuchi na ulevi kusaidia Uzi ulete hamu ya kuchangia bt reality sio
.

nitake radhi ICHANA! hapo nilipo bold yani umenivua nishani yangu kabisa!!

hivi unajua kwanini nimebatizwa jina la excel??

yani mpaka sasa hard disk imejaa majina ya warembo wangu kuanzia mwezi wa kwanza! imagine how dangerous am I!

kuanzia breakfast, lunch, supper, dinner.. lazima niwe na kipozeo pembeni!

afu hawa wakizaramo ndo wazuri aisee!
 
Last edited by a moderator:
nitake radhi ICHANA! hapo nilipo bold yani umenivua nishani yangu kabisa!!

hivi unajua kwanini nimebatizwa jina la excel??

yani mpaka sasa hard disk imejaa majina ya warembo wangu kuanzia mwezi wa kwanza! imagine how dangerous am I!

kuanzia breakfast, lunch, supper, dinner.. lazima niwe na kipozeo pembeni!

afu hawa wakizaramo ndo wazuri aisee!

Haaaaaaa hard disk ya 1Tb or 500 GB trasceend, Seagate , Toshiba or western digital... come on mkuu excel kwani kutoka now out ndo umewatia??? Yawezekana unapenda uone warembo pembeni yako tuu...
Jina kitu gani?? Action bhana
 
Last edited by a moderator:
kweli kabisaaaa, na ndo wanatumia gia hiyo kuwafata wanawake.. ukiliona linajifanya halijui kuongea wala kutongoza kumbe limewapanga foleni leo huyu kesho yule.. kaaa! alichonifanya m.bu.zi mmoja wa dizain hii sitakaa nisahau milele. jitu linajifanya lipoooole kumbe wapi. malipo ni hapa hapa duniani. umenipotezea direction yangu poa, we endelea kula ujana!

ha ha ha ha ha!!!!!

pole sana , kweli ipo siku aiseee
 
kwa nini nijitia mi najisi kwa kunywa pombe, kuvuta sigara, maisha yangu yote ya ujana nimeyatumia kiwanjani, piga football la hatari, hiyo ndo starehe yangu na sasa hivi ni casual mazoezi, na nikiwa home watching movies na surfing internet, km papuchi mke wangu anayo hata sita kwa siku nagonga, ssa unataka kila mtu ajitie mi najisi hiyo? halafu wengi wanaokunywa na kukimbilia mi sigara hawana nguvu za kiume hilo ni chaka la kujifichia huko, kisingizio pombe

hapo kama vile unajidanganya mkuu.
 
hellow mrembo! excel kakumiss sana mtoto mzuri!!

mbona siku hizi huji kijiweni jamani! au kwa vile ulikopa ile jeans ya elfu 40 ndo unaogopa nisikudai? lols..

LMFAO!!! mie ndo wakukopa jaman tena Excel! au umenifananisha swaiba jaman, ndo nini kuumbuana hapa jukwaani, utaona bastola ya dushelele inakuhusuuu!:eyebrows:
 
Pole, usisahau tena kuwa si kila king'aacho ni dhahabu.
kweli kabisaaaa, na ndo wanatumia gia hiyo kuwafata wanawake.. ukiliona linajifanya halijui kuongea wala kutongoza kumbe limewapanga foleni leo huyu kesho yule.. kaaa! alichonifanya m.bu.zi mmoja wa dizain hii sitakaa nisahau milele. jitu linajifanya lipoooole kumbe wapi. malipo ni hapa hapa duniani. umenipotezea direction yangu poa, we endelea kula ujana!
 
asante mkuu, dah! dunia inanifundisha mambo ambayo hata ckutaka kujifunza.! yan huyu binadam cna ham nae.


ndiyo maisha yalivyo,,,,,,,,

cha muhimu ukiwa na furaha , furahia kwa nguvu zote na ukiwa na huzuni itafute furaha ilipo........
 
Back
Top Bottom