Wazee wa kimyakimya

Wazee wa kimyakimya

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,169
Reaction score
829,112
Utawafahamu tu ni wakimya hawanywi pombe hawavuti sigara hawaendi club kinywaji chao kikuu soda.

Ukiwaangalia machoni kama watu lakini maamaaa wee hawa watu ni moto chini kilevi chao kikuu papuchi yani ni mabazazi wamepiliza wana uwezo kwa kugegeda mara tatu kwa siku wanawake watatu tofauti.

Hawapendi show off girls wao zao ni mahousegirl mamantilie wanafunzi nk nk ,watu wasio na complications wao ndio zao kama umoja wao pita kimya kimya usitoe povu tafadhali.
 
Huo ni uonevu na usingiziaji brother, mimi sivuti pombe, sinywi sigara, siendagi club n.k. Starehe yangu kubwa ni mziki wa home na simu, mitandao ya kijamii, kupiga story na watu, matembezi, vitabu n.k. Sasa unaposema tusiokunywa pombe wala kuvuta sigara au kwenda club ni wazee wa kugegeda mmhhh.... Karudie research yako, hao ni 10% tu usigeneralize!
 
Huo ni uonevu na usingiziaji brother, mimi sivuti pombe, sinywi sigara, siendagi club n.k. Starehe yangu kubwa ni mziki wa home na simu, mitandao ya kijamii, kupiga story na watu, matembezi, vitabu n.k. Sasa unaposema tusiokunywa pombe wala kuvuta sigara au kwenda club ni wazee wa kugegeda mmhhh.... Karudie research yako, hao ni 10% tu usigeneralize!

Magnificent uko sahihi sio wote lakini wengi wako hivyo
 
Kwanzia leo sitaki kumuona kimya kimya na kujifanya msomaji wa vijinovels nk. atanitambua nikirejea toka job maana eeee h,girl asipojuwepo yeye ndio analalamika utadhani majukumu ya ndani ni yake, kumbeeeee hii amini amini leo kwangu mwishoooooooo!
 
Umekariri brother tabia ni asili ya mtu ,walevi ndo wanaongoza kwa Ngono zembe ndo maana kuna formula "ulevi+pombe=HIV" so far pombe inapunguza umakini
 
kweli kabisaaaa, na ndo wanatumia gia hiyo kuwafata wanawake.. ukiliona linajifanya halijui kuongea wala kutongoza kumbe limewapanga foleni leo huyu kesho yule.. kaaa! alichonifanya m.bu.zi mmoja wa dizain hii sitakaa nisahau milele. jitu linajifanya lipoooole kumbe wapi. malipo ni hapa hapa duniani. umenipotezea direction yangu poa, we endelea kula ujana!
 
Utawafahamu tu ni wakimya hawanywi pombe hawavuti sigara hawaendi club kinywaji chao kikuu soda
Ukiwaangalia machoni kama watu lakini maamaaa wee hawa watu ni moto chini kilevi chao kikuu papuchi yani ni mabazazi wamepiliza
Wana uwezo kwa kugegeda mara tatu kwa siku wanawake watatu tofauti
Hawapendi show off girls wao zao ni mahousegirl mamantilie wanafunzi nk nk ,watu wasio na complications wao ndio zao
kama umoja wai pita kimya kimya usitoe povu tafadhali

kwanini tu mkuu hukusema huu uzi ni maalum kwa ajili ya excel bana!!

mi nilisema kabisa, pombe sinywi wala kilevi chochote situmii zaidi ya dawa za hospitalini bana...

club huwa naenda kimya kimya kwa lengo tu la inspection of new papuchiz.. after there, nabeba saiz yangu tu nakesha nayo!!!

day one inaisha...
 
Lisemwalo lipo!!

hellow mrembo! excel kakumiss sana mtoto mzuri!!

mbona siku hizi huji kijiweni jamani! au kwa vile ulikopa ile jeans ya elfu 40 ndo unaogopa nisikudai? lols..
 
Kuna ukweli flani hapa..pia kama sio mpenzi wa mpira basi kugegeda kwake ni priority..

tena priority yenye loan juu.. afu usiombe ukutane na mgegedaji mzuri, utakoma aisee, kumuacha hutoweza!
 
hii habari imemkumba mahondaw aisee...

yeye ndo kabisaa kakumbana na chalii aliyezima taa, kafunga madirisha na kuwasha sony watts 30000 kwa volume 40!

hapo mtoto wa watu angegegedwa mpaka ahisi anaunguzwa na moto wa songas kabisa!!!
 
kweli kabisaaaa, na ndo wanatumia gia hiyo kuwafata wanawake.. ukiliona linajifanya halijui kuongea wala kutongoza kumbe limewapanga foleni leo huyu kesho yule.. kaaa! alichonifanya m.bu.zi mmoja wa dizain hii sitakaa nisahau milele. jitu linajifanya lipoooole kumbe wapi. malipo ni hapa hapa duniani. umenipotezea direction yangu poa, we endelea kula ujana!

Mkuu una hasira sana. Mlikuwa mnapoteza sasa we ukajisahau ukapotea moja kwa moja. Mwenzako alistuka mapema
 
Back
Top Bottom