comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,532
- 11,709
Hawa wazee ni hatari sana, msiwachukulie poa, ombi lao lifanyiwe kazi haraka kabla madhara hayajatokea.
Najua mtapuuza lakini tutakutana hapahapa kijiweni.
Huyo alienyoa W kwenye ulimwengu wa kiroho ni hatari sanaaaaaa.
Najua mtapuuza lakini tutakutana hapahapa kijiweni.
Huyo alienyoa W kwenye ulimwengu wa kiroho ni hatari sanaaaaaa.