Wanadai wameona mi naweza kumtoa
Wanadai wameona mi naweza kumtoa
2015 ni mbali sana inapendeza kumng'oa sasa kama kweli umetumwa kwa kazi hiyo. unatuchelewesha...........umuhimu wako 2015 unaweza kuwa haupo tenaWanadai wameona mi naweza kumtoa
We ni nani??mi niko kawe,ni cdm pia ila nna mahusiano mazuri na hawa wazee wa ccm...kifupi ni kuwa..hawa wazee wana njaa,na pia hakuna mgombea wa ccm karibu kuwashibisha..ukiingia ccm kwa ushawishi wao 2015 mimi naingia chadema...we'll put you down..tulia ulipo kijana wangu
Duuh, umemjibu vizuri sana hadi nimefurahi. Wewe unafaa kwa Maswali ya Papo kwa Hapo maana hauko kama Majengo yaliyopinda anavyozuga mjengoni kila Alhamisi kwa porojo na machozi!Nahisi wewe ni kale kajamaa ka CCM rafiki yake Mwigulu na Le Mutuz!!
Usipime upepo, kwanza Kawe hakuna wazee, wazee wameishia Chalinze!
Wanadai wameona mi naweza kumtoa
kwa hiyo shida yao umtoe sio uwaletee maendeleo?Wanadai wameona mi naweza kumtoa
Ben,Bora kama ni wazee wamekutuma......!
Ningeshangaa sana kama ungekuwa umetumwa na vijana wanaopigania maisha yao ya baadae na vizazi vijavyo.Kama ni wazee,tena wa CCM hilo halina tatizo.Kila la kheri