kyemo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 570
- 720
Napita zangu kurudi home nikakuta mitaa ya survey watu kibao wamejazana pembeni ya barabara,kushuka kuuliza kuna nini mbona watu wengi,naambiwa wazee wa boxer wamepita km dakika 20 zilizopita wakiwa si chini ya wanne hivi,wamepora pesa kwenye maduka matatu na kibanda cha chips na pia wamekimbia na boxer nyingine iliyokuwa imepaki pembeni,ni hayo tu kwa sasa km kuna mtu ana taarifa zaidi anaweza kutujuza