VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Maofisa mbalimbali wa Mamlaka ya Bandari Tanzania wamepania kumwonyesha Waziri Mteule wa Uchukuzi,Dr.(PhD) Harrison Mwakyembe,kilichowashinda watangulizi wake: Omari Nundu na Athuman Mfutakamba.Wakiongea nami jana katika nyakati tofauti juu ya vipi watampokea Waziri 'mpya',wazee hao wa Bndari walitamba kuwa hawataacha kilichozoeleka Bandarini hapo.'Tunajua Rais anatupima ubavu kwa kutuletea Mwakyembe.Na aje tumwonyeshe mfupa mgumu hapa Bandarini.Hatutaacha mazoea yetu'. alitamba mmoja wa wazee wa Bandari. Mwakyembe ataisafisha Bandari yetu?
Mzee Tupatupa
Mzee Tupatupa