Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Tofauti na ilivyokuwa Igunga chama cha magamba kilikuwa kinabeba watu kutoka eneo moja kwenda lingine kutumia malori ili kuonyesha kuwa kinakubalika kutokana na wingi wa watu Lakini Arumeru wazee wanakataa kuyapanda hayo malori wanataka wapande V8 na wakina Mwingulu ,Nape na wengine wa magamba ndio wapande malori Arumeru wazee wajanja