Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,745
Isije ikawa mlikuwa mnafurahia tu kuja kupata futru jioni. Halafu baadaye muanze kutusumbua sisi. Mmepata nafasi ya kuongea na Rasi je mmemwambia haya...
1. Vijana wenu hatuna kazi
2. Hamjalipwa au mnasumbuliwa mafao
3. Mna matatizo kwenye kupata huduma za Afya
4. Vijana wenu wanaonewa na Vyombo vya usalama
5. Matatizo ya usafiri ndani ya Jiji?
Mmemwambia hayo? Maana msije mkarudi home kuanza kutusumbua wakati mlikuwa na nafasi ya kuongea hayo. Naona wengi shauku kubwa ilikuwa ni kusubiria Futari.
Tusije ananza.sumbuana hapo baadaye. Mi ndo nmeshawaambia hivyo.
1. Vijana wenu hatuna kazi
2. Hamjalipwa au mnasumbuliwa mafao
3. Mna matatizo kwenye kupata huduma za Afya
4. Vijana wenu wanaonewa na Vyombo vya usalama
5. Matatizo ya usafiri ndani ya Jiji?
Mmemwambia hayo? Maana msije mkarudi home kuanza kutusumbua wakati mlikuwa na nafasi ya kuongea hayo. Naona wengi shauku kubwa ilikuwa ni kusubiria Futari.
Tusije ananza.sumbuana hapo baadaye. Mi ndo nmeshawaambia hivyo.