y-n
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,391
- 2,514
Wewe na mleta mada wote ni makhabithi
Unaanza lugha chafu.?
Unaweza?
Au matusi ni somo mojawapo huko madrasa?
Ndio maana mwenzako amesema wazazi wake mataahira.
Madrasa si elimu ya kumpeleka mtoto.
Wewe na mleta mada wote ni makhabithi
hata kama wanakuboa kijakazi, unatakiwa ulitafutie ufumbuzi wewe mwenyewe bila kuwasema kama ulivyofanya, hii tayari imekula kwako. five years to come utaona matokeo yake. Ili upone omba toba vinginevyo imekula kwako. I wish I could talk to you face to face for you to understand maana ya imekula kwako, sio kuwa nakutisha ila ndiyo ukweli wenyewe imekula kwako. kujinusuru na hilo jambo baya linalokunyemelea omba toba, period
Imekula kwangu kivipi? ungejua jinsi wanavyoboa wala usingesema!
Unaanza lugha chafu.?
Unaweza?
Au matusi ni somo mojawapo huko madrasa?
Ndio maana mwenzako amesema wazazi wake mataahira.
Madrasa si elimu ya kumpeleka mtoto.