Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 798
Bangi huzaa bangi na mchicha huzaa mchicha. Kama wazazi wako ni wajinga na wewe ni mjinga!!!!
fafanua,inakuwaje hiyo?Mambos! Mimi nina bahati mbaya ya kuwa na wazazi wajinga, Je kuna yoyote kati yenu pia mwenye hilo tatizo? Ningependa kujua anaishi vipi na wazazi wajinga, kwa maana napata shida sana!
Bangi huzaa bangi na mchicha huzaa mchicha. Kama wazazi wako ni wajinga na wewe ni mjinga!!!!
Mimi sio mjinga form 4 nilipata division 1 ya katikati na fomu 6 nilipata two ya mwanzoni kabisa hivyo ni moja kati ya watu wenye akili sana Tanzania!
We ndio mjinga na mpuuzi usojitambua
Kabla ya kukushauri hebu tuambie kwanza umeacha lini kutumia zile dawa zako za mirembe!Mambos!
Mimi nina bahati mbaya ya kuwa na wazazi wajinga, Je kuna yoyote kati yenu pia mwenye hilo tatizo? Ningependa kujua anaishi vipi na wazazi wajinga, kwa maana napata shida sana!
Mambos!
Mimi nina bahati mbaya ya kuwa na wazazi wajinga, Je kuna yoyote kati yenu pia mwenye hilo tatizo? Ningependa kujua anaishi vipi na wazazi wajinga, kwa maana napata shida sana!
Sikuiti mkuu ili nisije ingia kuunga mkono mtu asiyeheshimu wazazi wake.Mambos!
Mimi nina bahati mbaya ya kuwa na wazazi wajinga, Je kuna yoyote kati yenu pia mwenye hilo tatizo? Ningependa kujua anaishi vipi na wazazi wajinga, kwa maana napata shida sana!
Hivi kama mzazi anakukomalie ukasome madrasa na usisome elimu ya kawaida huyo sip mjinga?
hata kama wanakuboa kijakazi, unatakiwa ulitafutie ufumbuzi wewe mwenyewe bila kuwasema kama ulivyofanya, hii tayari imekula kwako. five years to come utaona matokeo yake. Ili upone omba toba vinginevyo imekula kwako. I wish I could talk to you face to face for you to understand maana ya imekula kwako, sio kuwa nakutisha ila ndiyo ukweli wenyewe imekula kwako. kujinusuru na hilo jambo baya linalokunyemelea omba toba, periodImekula kwangu kivipi? ungejua jinsi wanavyoboa wala usingesema!