Wazazi wangenichagulia mke...

Wiyelelee

JF-Expert Member
Nov 9, 2012
1,071
347
Wana JF,

Katika thread hii https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/412151-kinachodumisha-mapenzi-hiki-hapa-2.html, Mchangiaji mmoja kwa jina la Mzabzab amesema kitu ambacho kimenifanya nitafakari sana. Alichangia hivi;

"...wewe mama mzazi ata siku moja hawezi kumtakia mwanae mabaya. ndio maana anakutafutia wakawaida anajua hao wazuri tabu tupu..."

Mi nadhani mambo ya kuchaguliwa mke yamepitwa na wakati, lakini kwa hoja ya kwamba ndoa inadumu, na kwamba wazazi hawawezi kumpatia mtoto kitu kibaya, nalazimika kukubaliana nae. Siku hizi, mahusiano yanaaza kwa sms, na kuvunjikia kwenye sma. Angalabhu zamani kulikuwa na vibarua kwa mwandiko wa mwanaume au mwanamke wakijibizana, zikiambatana na maua mazuri! Sasa leo ni email na sms, hata mwandiko wa mkeo mtu huuoni wa kukandikia barua. Unapata email tu! Ndo maana ndoa zinakuwa na mashaka. Ndo maana mke akipewa zawadi ya kiwanja na mme akijenga lazima utasikia kejeri kwa mwanamke! Ndo maana wanawake hawa hawapendi wakwe zao kwakuogopa kukosolewa mara kwa mara! Ndo maana hawa tuliowachaguwa sisi kwa sms, au tulipokutana kwenye daladala la Mbagala-G'mboto, au ile ya Kunduchi -Posta, tukabadilishana simu zetu, usiku huohuo eti "Nakuwaza nashindwa kulala". Mmh!

Ndoa hazi zinakuwa hazina reference point yakudumu. Maana iwapo wazazi wamehusika, mtu utafanya reference hapo, hata kama ni barua, ikiwa mmeudhiana, unachukua barua za mwenzako zenye maua yale unaanza kutafakari. Je wanawake wangapi wanawaandikia waume zao barua wakachora ua nzuri lile ili kumfurahisha mmewe? Hawapo! Sana sana eti wananunua kadi! pumbaf kabisa!

Ndo maana nalazimika kukubaliana na Mzabzab kwamba akheri mke wa kuchaguliwa na wazazi!

Asalaam aleikum.
 
I feel your pain and disappointment. Utakuwa bitter kila siku ukiwish na kuwish vitu ambavyo hatuwezi kuvirudisha. Kwa mjanja kila situation au era ina excitements zake. badala la kudaydream about the past why not make the most out of the present?
 
Kaka Wiyelele usemalo ni kweli lakini laweza kuwa si sahihi kuchaguliwa mke na mama, mathalani mimi niezaliwa Ngadinda Songea vijijini, nikasoma Matepwende shule ya Msingi Namtumbo, sekondari nikasoma Naliendelele, halafu A level nikasoma Tabora, nikaja chuo Daslam, nikasomea biashara! Tangu nitoke Ngadinda na miaka 9, huwa narudi likizo fupi fupi tu! Nimeajiriwa Arusha kwa shirika taasisi moja nyeti, campani yangu watu wa neno moja kiswahili matano ung'eng'e! Hapa nilipo nimeajiriwa Jirani kabisa na ofisini kwa Preta, huyu Preta nilimfahamu wakati yeye anasoma Mtwara girls na mimi nikiwa Naliendele, halafu chuo Dar tulisoma pamoja ingawa yeye alikuwa anasomea mambo ya social studies, na tuliishi chuoni kama girlfriend na boyfriend. Namfahamu Preta ndani nje! Haya mama yangu Kule Ngadinda ni Mkulima, amenitafutia mke kadala, ambaye sifa yake kuu ni hodari wa kilimo, halafu kwa ukata wa wazazi wake hata darasa la saba hakumaliza! Sasa kaka Wiyelele, Mtambuzi, Mzizi Mkavu, Ngalikihinja, watu8, Arusha one, erick B52, Nicas Mtei, Bujibuji, Boflo dada zangu snowhite, @FP, charminglady na mshenga King'asti, kati ya Preta ninayemfahamu mimi mwenyewe na kadala ambaye simfahamu kabisa ila ndo kipenzi ya mama yangu na hodari wa kulima ambapo mimi sina shamba A town, ni nani atakuwa mke wa kudumu naye?
 
Last edited by a moderator:
Kaka Wiyelele usemalo ni kweli lakini laweza kuwa si sahihi kuchaguliwa mke na mama, mathalani mimi niezaliwa Ngadinda Songea vijijini, nikasoma Matepwende shule ya Msingi Namtumbo, sekondari nikasoma Naliendelele, halafu A level nikasoma Tabora, nikaja chuo Daslam, nikasomea biashara! Tangu nitoke Ngadinda na miaka 9, huwa narudi likizo fupi fupi tu! Nimeajiriwa Arusha kwa shirika taasisi moja nyeti, campani yangu watu wa neno moja kiswahili matano ung'eng'e! Hapa nilipo nimeajiriwa Jirani kabisa na ofisini kwa Preta, huyu Preta nilimfahamu wakati yeye anasoma Mtwara girls na mimi nikiwa Naliendele, halafu chuo Dar tulisoma pamoja ingawa yeye alikuwa anasomea mambo ya social studies, na tuliishi chuoni kama girlfriend na boyfriend. Namfahamu Preta ndani nje! Haya mama yangu Kule Ngadinda ni Mkulima, amenitafutia mke kadala, ambaye sifa yake kuu ni hodari wa kilimo, halafu kwa ukata wa wazazi wake hata darasa la saba hakumaliza! Sasa kaka Wiyelele, Mtambuzi, Mzizi Mkavu, Ngalikihinja, watu8, Arusha one, erick B52, Nicas Mtei, Bujibuji, Boflo dada zangu snowhite, @FP, charminglady na mshenga King'asti, kati ya Preta ninayemfahamu mimi mwenyewe na kadala ambaye simfahamu kabisa ila ndo kipenzi ya mama yangu na hodari wa kulima ambapo mimi sina shamba A town, ni nani atakuwa mke wa kudumu naye?

Naamini kwa kuangalia haraka haraka, utasema ni kweli unamfaham Preta kwa ndani na nje. Wazazi wetu walikua wanaangalia zaidi ya hapo. Walianza kuangalia mababu zao, wazazi wa Preta na wanakuja na Preta mwenyewe. Sisi tunajua kukimbia, ila wazazi wanajua kutembea mwendo mrefu...
 
Hii mambo ya kuchaguliana wake au waume kwa jicho jingine ni fikra potofu.
Ni utamaduni ambao umejengeka miongoni mwa jamii nyingi zikiwemo hata za watu weupe.
Maisha yanabadilika ikiwemo na mfumo wa maisha, ni ngumu kuendelea kuishi pasipo kuambatana na muda.
Jiulize tu swali moja,je ni vigezo gani wanavyovitumia wazazi ambavyo wewe unashindwa kuving'amua (tambua)?
 
Kaka Wiyelele usemalo ni kweli lakini laweza kuwa si sahihi kuchaguliwa mke na mama, mathalani mimi niezaliwa Ngadinda Songea vijijini, nikasoma Matepwende shule ya Msingi Namtumbo, sekondari nikasoma Naliendelele, halafu A level nikasoma Tabora, nikaja chuo Daslam, nikasomea biashara! Tangu nitoke Ngadinda na miaka 9, huwa narudi likizo fupi fupi tu! Nimeajiriwa Arusha kwa shirika taasisi moja nyeti, campani yangu watu wa neno moja kiswahili matano ung'eng'e! Hapa nilipo nimeajiriwa Jirani kabisa na ofisini kwa Preta, huyu Preta nilimfahamu wakati yeye anasoma Mtwara girls na mimi nikiwa Naliendele, halafu chuo Dar tulisoma pamoja ingawa yeye alikuwa anasomea mambo ya social studies, na tuliishi chuoni kama girlfriend na boyfriend. Namfahamu Preta ndani nje! Haya mama yangu Kule Ngadinda ni Mkulima, amenitafutia mke kadala, ambaye sifa yake kuu ni hodari wa kilimo, halafu kwa ukata wa wazazi wake hata darasa la saba hakumaliza! Sasa kaka Wiyelele, Mtambuzi, Mzizi Mkavu, Ngalikihinja, watu8, Arusha one, erick B52, Nicas Mtei, Bujibuji, Boflo dada zangu snowhite, @FP, charminglady na mshenga King'asti, kati ya Preta ninayemfahamu mimi mwenyewe na kadala ambaye simfahamu kabisa ila ndo kipenzi ya mama yangu na hodari wa kulima ambapo mimi sina shamba A town, ni nani atakuwa mke wa kudumu naye?
Halafu kadala mwenyewe akija mjini siku za mwanzo ataweka viatu kwenye friji, lakini kadili siku zinavyozidi anazidi kula mvinyo na walatino na kuniona mimi kichechefu..... Wala sitaki hayo, ka ningekuwa mimi namng'ang'ania Preta kwa nguvu zote... Halafu, mambo ya kujuwa sana kulima ndo nini? Aje mjini alime lami? KAMA ZILIVYO MILA POTOFU, na HII YA KUCHAGULIWA MKE NI POTOFU PIA... Acheni hizo, Ngadinda na Arusha wapi na wapi? Naowa huyu ninayemfahamu mimi... Kwanza ataishi na mimi
 
Halafu kadala mwenyewe akija mjini siku za mwanzo ataweka viatu kwenye friji, lakini kadili siku zinavyozidi anazidi kula mvinyo na walatino na kuniona mimi kichechefu..... Wala sitaki hayo, ka ningekuwa mimi namng'ang'ania Preta kwa nguvu zote... Halafu, mambo ya kujuwa sana kulima ndo nini? Aje mjini alime lami? KAMA ZILIVYO MILA POTOFU, na HII YA KUCHAGULIWA MKE NI POTOFU PIA... Acheni hizo, Ngadinda na Arusha wapi na wapi? Naowa huyu ninayemfahamu mimi... Kwanza ataishi na mimi

Hahahah! Hii ya kuweka viatu kwenye friji ni mpya! Wengi tunafikiri chaguo la wazazi lazime awe kutoka kijijini lahasha! Kuna wengine wanaishi na wazazi mjini.... Wazazi wamesimamia ubatizo wa watoto na wanawajua kwamba watoto wa Filikunjombe au Mwakisyala au Mwakahesya au MMpangala wanatabia hizi na hizi.. Japo siku hizi hawawezi kukuchagulia moja kwa moja, wanaweza kukuonesha njia tu!
 
Hahahah! Hii ya kuweka viatu kwenye friji ni mpya! Wengi tunafikiri chaguo la wazazi lazime awe kutoka kijijini lahasha! Kuna wengine wanaishi na wazazi mjini.... Wazazi wamesimamia ubatizo wa watoto na wanawajua kwamba watoto wa Filikunjombe au Mwakisyala au Mwakahesya au MMpangala wanatabia hizi na hizi.. Japo siku hizi hawawezi kukuchagulia moja kwa moja, wanaweza kukuonesha njia tu!
Hiyo nayo nimeipenda, kama mzazi ataniwekea slop, halafu ukute hapo mzazi anapotengeneza slop nami ndo nilikuwa nazengea... lazima watajisifu kuwa wamenichagulia kumbe wamechagua nilipochagua....

Ni kweli wazazi wa mjini utwasikia, tunamuimba mwanao atoke na familia yetu leo, maana tunakwenda bichi kwa hiyo tukafurahi naye wote... HUKO BICHI SASA... kijana unaachiwa gari na wanakuacha naye ila kwa masherti kwamba umrudishe kwao. Na kwa kufanya hivyo wazazi wa upande wa pili nao wanaanza kujenga interest na mwisho nao wanaanza kumlengesha wa kwako....


Ila hiyo slop ikitengenezwa kwa nongayembe, weee.... HAWAPATI KITU, NITAISHIA KUMEGA NA KUACHA
 
Sisi tunajua kukimbia, ila wazazi wanajua kutembea mwendo mrefu...

Kwa nyakati zao ilikuwa sawa kutembea, maana maisha yao yalikuwa marefu, leo hii mimi nitembee hali maisha yenyewe ni mafupi! kadala atazijua mishe mishe za A town? Haya wakija rafiki zangu Baba V, Vin Diesel, The Boss na tajiri wangu AshaDii, akija Mrembo by Nature au mwaJ wakabonga ung'eng'e si watakuwa wameniachia zogo hapo home! Halafu najua gap la uelewa wa mambo kati yangu na kadala niliyechaguliwa na mama yangu ni kubwa sana, atumia kwa inferiority complex na pengine anaweza kupata Depression kabisa. Vinginevyo wadau wasije nyumbani kwangu
 
Last edited by a moderator:
Hii mambo ya kuchaguliana wake au waume kwa jicho jingine ni fikra potofu.
Ni utamaduni ambao umejengeka miongoni mwa jamii nyingi zikiwemo hata za watu weupe.
Maisha yanabadilika ikiwemo na mfumo wa maisha, ni ngumu kuendelea kuishi pasipo kuambatana na muda.
Jiulize tu swali moja,je ni vigezo gani wanavyovitumia wazazi ambavyo wewe unashindwa kuving'amua (tambua)?
This ^
how can an adult want kuchaguliwa mke/mume?? unatofauti gani na mtoto ambaye hawezi ku-make life decisions mwenyewe.
 
Sidhani kama tatizo lipo kwenye kuchagua au kuchaguliwa, tatizo lipo kwa yule either uliyomchagua au uliochaguliwa na suala kubwa hapa ni, je huyo ni potential wife/huzband???!
 
Kuna kitu huwa wengi kuwa tunajidanganya... Eti "Mapenzi ni ya watu wawili" huwa sijui vigezo vya imani hii ni ipi.

Ndoa mnaoana wewe na huyo mwenza wako pamoja na familia nzima. Familia ina nafasi kubwa sana katika furaha, imani na amani ya ndoa tegemeana na circumstances zenyewe.

Faida ya kukubali mama kukuchagulia mke hi hizi:-


  1. Utaepuka sana kuwekwa kati na wanawake hao muhimu kuliko wote katika maisha yako... Mara mkeo mkiwa chumbani baada ya faragha - kuanza kulalama juu ya mamako huyo. Au ukienda kwa mama kulalamika juu ya mkeo.
  2. Heshima ya mkeo juu ya mamako kuwa juu kwa kutambua kuwa yupo responsible kwa yeye kuwa pale... Wanawake wengi hekima na busara imewashinda saana juu ya kufanya mashindano na mamamkwe... Husahau kabisa kuwa huyo mi mzaa chema, na kuwa nafasi ya kuwa mwanamke anaye tawala maisha ya mtoto wake ni kitu ambacho yeye (mamamkwe) kama mwanadamu lazima imuume. Hivyo huenda ndani ya ndoa huku kaajianda kabisa kuwa kuna vita dhidi ya mamamkwe juu ya mtoto wake.
  3. Uwezekano wa kupata mke mwema... Sababu hadi mamako a suggest ina maana kamuangalia binti, kaangalia familia pamoja na tabia zao za namna ya kuishi na watu.
 
Bebee nang'oo Wiyelelee.Umeyakumbuka tu mapenzi yetu ya zamani ya kuandikiana barua za maua.na kumtuma mdogo wako aje kuniletea kule nyuma ya zizi la ngombe.
Mmh yalikuwa mazuri kweli.Na mie nikipokea naifichaa acha kabisa usiku wakati wa kulala wenzangu wamelala mie naisoma kwenye mwanga hafifu wa kibatari na kukujibu.
Nahakikisha mwisho wa barua nachora moyo na mshalee na uwaridi loh.
Mapenzi haya yalikuwa matamu kweli.


Siku hizi ni hapa JF una PM ama whatsapp loh ama Kifacebook jamani ama kinanii gmail kiyahoo kihotmail chats jamani.
Vurugu mtindo mmoja hakuna hata ile michoro yetu ya kalee.na mwandiko mbovu mbovu.

Lol Kweli nimeya miss yale mapenzi ya kale.akikukorofisha unaenda kwenye sanduku la chuma ulipo hifadhi barua zako unaanza kupitia moja moja huku unalia na kujifariji.
 
you made my noon
mazingira hayaruhusu sisi kuanzisha mahusiano kama wazazi wetu walivyofanya.........la muhimu ni kumshirikisha Mungu yeye ndo akuchagulie mke mwema.
kuna kitu ambacho wazazi wetu wanakimiss
wasichana wa siku hizi sio kama wa zama zile
unapomchagua mke kwa kutazama wazazi wake ni kosa kubwa sana
tabia za msichana huyo sio lazima zifanane na za mama yake
thats a big mistakes wanazofanya wazazi wetu, cant make reference kwa wazazi
 
you made my noon
kuna kitu ambacho wazazi wetu wanakimiss
wasichana wa siku hizi sio kama wa zama zile
unapomchagua mke kwa kutazama wazazi wake ni kosa kubwa sana
tabia za msichana huyo sio lazima zifanane na za mama yake
thats a big mistakes wanazofanya wazazi wetu, cant make reference kwa wazazi
kweli kabisa na sidhani kama niyatendayo mimi leo na mwanangu atayatenda yaleyale ingawa namwombea awe mtiifu na awe na hofu ya Mungu ndani yake.
 
Kuna kitu huwa wengi kuwa tunajidanganya... Eti "Mapenzi ni ya watu wawili" huwa sijui vigezo vya imani hii ni ipi.

Ndoa mnaoana wewe na huyo mwenza wako pamoja na familia nzima. Familia ina nafasi kubwa sana katika furaha, imani na amani ya ndoa tegemeana na circumstances zenyewe.

Faida ya kukubali mama kukuchagulia mke hi hizi:-


  1. Utaepuka sana kuwekwa kati na wanawake hao muhimu kuliko wote katika maisha yako... Mara mkeo mkiwa chumbani baada ya faragha - kuanza kulalama juu ya mamako huyo. Au ukienda kwa mama kulalamika juu ya mkeo.
  2. Heshima ya mkeo juu ya mamako kuwa juu kwa kutambua kuwa yupo responsible kwa yeye kuwa pale... Wanawake wengi hekima na busara imewashinda saana juu ya kufanya mashindano na mamamkwe... Husahau kabisa kuwa huyo mi mzaa chema, na kuwa nafasi ya kuwa mwanamke anaye tawala maisha ya mtoto wake ni kitu ambacho yeye (mamamkwe) kama mwanadamu lazima imuume. Hivyo huenda ndani ya ndoa huku kaajianda kabisa kuwa kuna vita dhidi ya mamamkwe juu ya mtoto wake.
  3. Uwezekano wa kupata mke mwema... Sababu hadi mamako a suggest ina maana kamuangalia binti, kaangalia familia pamoja na tabia zao za namna ya kuishi na watu.


BIG UP AshaDii!

Halafu, huyo mwanamke atakuwa karibu sana na mamamkwe na hivyo itapunguza uwezekano wa kuhitilafiana kati ya hawa wawili...U have
 
Bebee nang'oo Wiyelelee.Umeyakumbuka tu mapenzi yetu ya zamani ya kuandikiana barua za maua.na kumtuma mdogo wako aje kuniletea kule nyuma ya zizi la ngombe.
Mmh yalikuwa mazuri kweli.Na mie nikipokea naifichaa acha kabisa usiku wakati wa kulala wenzangu wamelala mie naisoma kwenye mwanga hafifu wa kibatari na kukujibu.
Nahakikisha mwisho wa barua nachora moyo na mshalee na uwaridi loh.
Mapenzi haya yalikuwa matamu kweli.


Siku hizi ni hapa JF una PM ama whatsapp loh ama Kifacebook jamani ama kinanii gmail kiyahoo kihotmail chats jamani.
Vurugu mtindo mmoja hakuna hata ile michoro yetu ya kalee.na mwandiko mbovu mbovu.

Lol Kweli nimeya miss yale mapenzi ya kale.akikukorofisha unaenda kwenye sanduku la chuma ulipo hifadhi barua zako unaanza kupitia moja moja huku unalia na kujifariji.

Hahahaha kweli kabisa! Hizi barua zilikuwa zinasomwa usiku enzi hizo! Afadhali mkuu wangu una kitu cha kumbukumbu katika maisha yako! Sisi hizi sms tunazifuta kila kukicha! Who knows? Labda tunapozifuta sms tunafuta upendo taratiiiibuuuu hadi tunachokana haraka!
 
Ukiacha utaratibu wa kimila na ustaarabu wa jamii fulani fulani, nadhani kipelekeacho wazazi kumchagulia mtu mke au mume ni matokeo ya wasiwasi wanaokuwa nao wazazi juu ya wanao. Ile hulka ya ulinzi autoao mzazi juu ya mwana ndio hughubika fikra zao na kuona pengine mtoto anaweza kufanya uchaguzi mbovu.

This ^
how can an adult want kuchaguliwa mke/mume?? unatofauti gani na mtoto ambaye hawezi ku-make life decisions mwenyewe.
 
Back
Top Bottom