LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
ninapoandika huu uzi muda huu sipo na wife nilikosana naye kidogo nikampa nauli arudi kwao, japo lengo langu la kumrudisha kwao limefanikiwa kwa asilimia fulani
maana tayari ameshajifunza kitu
kwanza kabisa alipofika kwao hajawaambia kwamba tumegombana bali amewaambia anaenda tu kula skukuu, ila amewapigia nyumbani kwetu na kuwaambia kuwa nimemfukuza, ndiyo ni kweli nimemfukuza,
amenituhumu nimechepuka na wakati sijafanya hicho kitu na chanzo ni sms kwenye simu, ukweli ni sijachepuka toka niwe naye mwaka wa tatu sasa japo alishaanza kunifanya nichepuke, ndo chanzo cha ugomvi,
tukirudi kwenye mada hapo juu,
nimeishi na mke wangu mwaka mmoja nyumbani kijijini na wazazi wangu
anakubalika sana na ndugu zangu wengi tuseme 95% wanamkubali wazazi wangu ndo kabisaa 100% huwaambii kitu kuhusu huyu mwanamke,
mama yangu baada ya kusikia kwamba nimemrudisha kwao amelia sana nakushindwa kula kwani haamini kama mke wangu anaweza nifanyia maudhi
baba ndo kabisaa hataki kusikia namgombeza huyu mwanamke kwani anasema ni heri ningempa nauli aende tu kijijini kuliko aende kwao,
nampenda mke wangu ila shida yake hajuagi kuomba msamhaha pale akoseapo,
amenipigia simu leo na tumeyamaliza hivo anakula tu skukuu arudi kwani ameniahidi hatarudia tena kufanya kosa kama hilo,
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app
maana tayari ameshajifunza kitu
kwanza kabisa alipofika kwao hajawaambia kwamba tumegombana bali amewaambia anaenda tu kula skukuu, ila amewapigia nyumbani kwetu na kuwaambia kuwa nimemfukuza, ndiyo ni kweli nimemfukuza,
amenituhumu nimechepuka na wakati sijafanya hicho kitu na chanzo ni sms kwenye simu, ukweli ni sijachepuka toka niwe naye mwaka wa tatu sasa japo alishaanza kunifanya nichepuke, ndo chanzo cha ugomvi,
tukirudi kwenye mada hapo juu,
nimeishi na mke wangu mwaka mmoja nyumbani kijijini na wazazi wangu
anakubalika sana na ndugu zangu wengi tuseme 95% wanamkubali wazazi wangu ndo kabisaa 100% huwaambii kitu kuhusu huyu mwanamke,
mama yangu baada ya kusikia kwamba nimemrudisha kwao amelia sana nakushindwa kula kwani haamini kama mke wangu anaweza nifanyia maudhi
baba ndo kabisaa hataki kusikia namgombeza huyu mwanamke kwani anasema ni heri ningempa nauli aende tu kijijini kuliko aende kwao,
nampenda mke wangu ila shida yake hajuagi kuomba msamhaha pale akoseapo,
amenipigia simu leo na tumeyamaliza hivo anakula tu skukuu arudi kwani ameniahidi hatarudia tena kufanya kosa kama hilo,
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app