AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,519
USHAURI KAMA HUU WA WATU WASIO NA DINI NA HOFU YA MOLA WAO USIUZINGATIE... MCHE MOLA WAKO... TARATIBU ZA KIISLAAM ZA KUFUATA ZIPO... KAMA BABA ANAENDEKEZA UJINGA... ANAACHWA TU... NA NDOA ITAFUNGWA KWA USIMAMIZI WA MAWALII WENGINE...
KWA SABABU UKIFANYA ZINAA HUTOMKOMOA MTU BALI UTAJIKOMOA MWENYEWE...
KWA SABABU UKIFANYA ZINAA HUTOMKOMOA MTU BALI UTAJIKOMOA MWENYEWE...
beba mimba ya mwamba game over
Muhusika usijaribu kabisa huu ujinga. Tulizana kwa mzee ukule raha cha msingi mtu wakukuoelekea moto yupo basi hamna shida genye zikidizi unampelekea jamaa anakugegeda
Mwambie jamaa akutoroshe akupangie sehemu ubebe mimba yake na ugome kabisa kurudi kwenu ikwezekana ubadilishe na namba zako za simu.
Baada ya muda wazazi wako watapata uchungu wa uzazi watakuja kukuomba msamaha na kurudisha mahusiano na wewe.