ngoja niseme kitu humu jf kuna wazaz madingi kabisa hiv inakuaje kila kitu unataka useme ndo kijana wako afate maana wamekuwa wa kwanza kuharibu future za watoto wao na kuanza kukimbilia kwa waganga kwa hili wazaz mbadilike tena sana mwingine unakuta hana uwezo kabisa lakin ni mtoto wake mwenyew anashindwa kumsaidia ila akisikia fulani hana oa au kuolewa mbio kutoa mchango ata kama laki moja na hali tuliyonayo hii ya mpito wew mzaz unakuta umesoma udaktar unalazimisha na mwanao awe daktali uku ukijua kipaji cha mtoto wako ni fasion u miss na usanii ama mambo ya biashara unajua jiulize wewe mzaz baba ako alikuwa daktali kama wewe si alikuwa mkulima tu pale uyole miaka 60 blood ful wazee msiojielewa na hakuna laana ya mbaya kwenu.....