phil78
Member
- Jan 12, 2023
- 47
- 71
Habari za jioni wana JF , mimi ni mgeni. Pia ni mzima wa afya
Iko hivi kuna msichana nimependana nae takeibani miaka 6 wakati huo wote tulikua tukiishi kama wachumba
Kuna wakati ukafika tukaona tujitambulishe kwa wazazi , mim kama mwanaume nilipokelewa ombi langu na wazaz wangu vizuri bila shida na kufurah kuwa sasa nimekuwa muda wa mimi kuoa wakati huu bado niko chuo , huyo msichana yeye bado hajaingia chuo ila alimaliza form 6 muda tu ni ugumu wa maisha umemfanya ashindwe kwenda chuo
Sasa kwao tulivyoenda nimekataliwa na yule binti alipigwa sana na mzazi wake , halafu kibaya hiyo siku anapigwa nilienda kumzagamua gesti fulani hivi pale Tegeta nikapiga sana mbususu japo sikuridhika maana nilikuwa na hamu sana , sasa wazazi wamenikataaa live wameniita mimi muharibifu bila ya wao kujua nimekaa na mtoto wao miaka 6 sasa
Binti nampenda na yeye ananipenda
Wazazi ndo hawataki , binti alitaka kujiua wazazi wakamuwaisha hospitali alikataaa kufanya chochote kisa mimi , nilivyoenda mimi akakubali then wazazi wake wakaniita chonjo eti wananiambia wasinione tena na mtoto wao kwa madai ya kwamba mimi ni mchawi nimemloga mtoto wao anipende.
Niliumia sana
Sasa naombeni ushauri nifanyaje na kama kuna mtu kashawahi kukutana na situation kama hii aliivuka vipi?
Maana nikisema nimpige demu chini demu atasema nimemchezea na kumuacha
Iko hivi kuna msichana nimependana nae takeibani miaka 6 wakati huo wote tulikua tukiishi kama wachumba
Kuna wakati ukafika tukaona tujitambulishe kwa wazazi , mim kama mwanaume nilipokelewa ombi langu na wazaz wangu vizuri bila shida na kufurah kuwa sasa nimekuwa muda wa mimi kuoa wakati huu bado niko chuo , huyo msichana yeye bado hajaingia chuo ila alimaliza form 6 muda tu ni ugumu wa maisha umemfanya ashindwe kwenda chuo
Sasa kwao tulivyoenda nimekataliwa na yule binti alipigwa sana na mzazi wake , halafu kibaya hiyo siku anapigwa nilienda kumzagamua gesti fulani hivi pale Tegeta nikapiga sana mbususu japo sikuridhika maana nilikuwa na hamu sana , sasa wazazi wamenikataaa live wameniita mimi muharibifu bila ya wao kujua nimekaa na mtoto wao miaka 6 sasa
Binti nampenda na yeye ananipenda
Wazazi ndo hawataki , binti alitaka kujiua wazazi wakamuwaisha hospitali alikataaa kufanya chochote kisa mimi , nilivyoenda mimi akakubali then wazazi wake wakaniita chonjo eti wananiambia wasinione tena na mtoto wao kwa madai ya kwamba mimi ni mchawi nimemloga mtoto wao anipende.
Niliumia sana
Sasa naombeni ushauri nifanyaje na kama kuna mtu kashawahi kukutana na situation kama hii aliivuka vipi?
Maana nikisema nimpige demu chini demu atasema nimemchezea na kumuacha