Wazazi wachungeni watoto wa kike

kumchunga hutoweza ,yani ukibana uku anatokea kwingine. cha muhimu ni kumuelekeza madhara ya hayo mambo.akipotea akuna atakaemlipia makosa yake.kila mtu atabeba msaraba wake.
 
kumchunga hutoweza ,yani ukibana uku anatokea kwingine. cha muhimu ni kumuelekeza madhara ya hayo mambo.akipotea akuna atakaemlipia makosa yake.kila mtu atabeba msaraba wake.
Kumchunga inawezekana mkuu
Unamzuia kutoka nyumbani .ni yeye na shule shule na wewe
 
Kumchunga inawezekana mkuu
Unamzuia kutoka nyumbani .ni yeye na shule shule na wewe
ukimbana sana ina manufaa ya mda mfupi,siku akipata uhuru ndio atataka ajaribu kila kitu.mfano halisi geti kali wengi wanaharibika wakifika chuoni kwasababu wanakuwa huru na nyumbani wanaishi maisha ya kupretend tuu.
 
Mithali 22:6 Neno la Mungu linasema "mlee mtoto katika njia impasayo,nae hatoiyacha hata atakapokuwa mzee"

Mungu alibariki neno lake.
Wengi wanalelewa hivyo lakini wanakengeuka, wanafuata ya dunia NA kuacha mafundisho ya wazaliwe wao, Kwa dunia ya sasa ni vigumu Sana Ila no way wazazi wachukue nafasi yao Kama wazazi
 
Zamani kijijini kwetu ilikua ukimuangalia msichana tu mitusi mpaka utajuta kuzaliwa... Niliwahi kugusa kanga ya dogo mmoja enzi hizo kesi aliipeleka kwao kilichofata niliona aibu. Lakini kwasasa hali ni tofauti sana... Unaweza kupanga nae lakini pakwenda kufanya nae ndo shida inapokuja hapo,... Lakini wengi wao hawakatai.
 
Zamani kijijini kwetu ilikua ukimuangalia msichana tu mitusi mpaka utajuta kuzaliwa... Niliwahi kugusa kanga ya dogo mmoja enzi hizo kesi aliipeleka kwao kilichofata niliona aibu. Lakini kwasasa hali ni tofauti sana... Unaweza kupanga nae lakini pakwenda kufanya nae ndo shida inapokuja hapo,... Lakini wengi wao hawakatai.
Sikuizi hata hatutongozani. Utamtania binti anakupa kweli
 
Back
Top Bottom