Wazazi waandamana Uingereza kupinga masomo kuhusu mahusiano ya jinsia moja

Birmingham ni moja ya maeneo yenye Waislam wengi
Hivyo sishangai kuona wao ndio wakiwa mstari wa mbele kupinga
 
Kwanini Dini zingine hazijaungana na Waislam kupinga Mafunzo hayo ya Ushoga?
Dini zengine hufundisha upendo tu hivyo pengine hazipendi fujo fujo muhimu ni amani tu,na waislamu huwa wanasemwa kuwa hawaheshimu tamaduni za watu wengine hutaka kufuatwa tamaduni zao tu hata wakiwa ugenini hivyo pengine dini zengine zimeona kupinga hilo suala ni kutokuheshimu tamaduni za wengine.
 
Kuwa Mkweli watu wanambana kuhakikisha wanaume wana Bali kuwa wanaume,
Ati dini zingine zinafundisha amani, unataka kutuaminisha kuwa Uislaam haufundishi Amani?
Shauri yenu watoto wenu wanamalizika huko,
Maana Makasisi ndo hasa wanawamaliza.
 
Kuwa Mkweli watu wanambana kuhakikisha wanaume wana Bali kuwa wanaume,
Ati dini zingine zinafundisha amani, unataka kutuaminisha kuwa Uislaam haufundishi Amani?
Shauri yenu watoto wenu wanamalizika huko,
Maana Makasisi ndo hasa wanawamaliza.
Masheck book haram wamewafira vijana 300 wakiwa wanawapa ilim
 
Kuwa Mkweli watu wanambana kuhakikisha wanaume wana Bali kuwa wanaume,
Ati dini zingine zinafundisha amani, unataka kutuaminisha kuwa Uislaam haufundishi Amani?
Shauri yenu watoto wenu wanamalizika huko,
Maana Makasisi ndo hasa wanawamaliza.
Mbona unanishambulia kwani nimeandika kibaya kuhusu imani yako?
 
UISLAM NDIO DINI PEKEE INAYOPINGA KWA DHATI USHOGA
Nakukumbusha tu mkristo maana yake ni mfuasi wa Yesu Kristo wa Nazareth na hupimwa kwa matendo yake..tena kwa level ya Rohoni...mbali na na hapo hao ni fisi waliovaa ngozi ya kondoo..Mtume Paulo kaandika msimamo wa kanisa la Kristo Yesu katika WAGALATIA 5...naam watu watendao matendo ya jinsi hiyo hawataurithi Ufalme wa Mungu.
 

Ushoga umekuwa tamaduni?
Kumbuka huku wanaita democracy
Na wanafundisha ushoga kuanzia miaka 3 je ungekubali mwanao wa miaka 3 afundishwe kwamba ushoga ni maamuzi yake?
 
Ushoga umekuwa tamaduni?
Kumbuka huku wanaita democracy
Na wanafundisha ushoga kuanzia miaka 3 je ungekubali mwanao wa miaka 3 afundishwe kwamba ushoga ni maamuzi yake?
Mkuu mie nimejaribu tu kujibu swali la kwanini waislamu kama ndio dini pekee iliyojitokeza kupinga hilo suala waziwazi kwa sababu mara nyingi husemwa kuwa waislamu hawaheshimu tamaduni za wenyeji na hutaka tamaduni zao tu ndio kufuatwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…