Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza.
Duka la sinza fremu kodi milioni, decorations za duka zinatumika milioni 10.
Halafu mtaji wa bidhaa za kuuzwa dukani thamani yake laki 7 tu.
Hivyo hivyo kwa wazazi. Mtoto primary analipiwa ada kwa mwaka milioni 3. na chekechea ada milioni 2
Kwa miaka saba mpaka anamaliza la saba imetumika zaidi ya milioni 20.
Sekondari mtoto anapelekwa tena private school ada milioni 5, mpaka anamaliza form 4 inatumika jumla milioni 20.
A level tena shule nyingine ada mamilioni, chuo tena hapati mkopo analipiwa ada milioni kazaa kila mwaka.
Mtoto anahitimu chuo anarudi nyumbani hana ajira. Sababu hana ajira hivyo mtoto huyo anamuomba mzazi mtaji ili ajiajiri. Mzazi anampa mtaji mdogo chini ya milioni tano, ambao unatosha kufungua banda la chips tu ama duka la mangi la kawaida.
Imagine
Mzazi katumia zaidi ya milioni 50 kumsomesha tu mtoto mmoja. Ila mzazi huyo huyo hana uwezo wa kumpa mwanae mtaji wa kueleweka pale mtoto anapomaliza chuo na kukosa ajira. Ama mzazi hawezi kumpa mtoto wake urithi wa biashara ya kueleweka kama kina Mo dewji walivyopewa na baba zao.
Yaani elimu ya private school inalipiwa hela nyingi. Huku ni kama decorations ya duka, halafu kwenye kujiajiri mtoto huyo huyo mtaji anapewa mdogooo , ama hapewi mtaji kabisa anabaki anahangaika tu.
wazazi tubadilike,
Duka la sinza fremu kodi milioni, decorations za duka zinatumika milioni 10.
Halafu mtaji wa bidhaa za kuuzwa dukani thamani yake laki 7 tu.
Hivyo hivyo kwa wazazi. Mtoto primary analipiwa ada kwa mwaka milioni 3. na chekechea ada milioni 2
Kwa miaka saba mpaka anamaliza la saba imetumika zaidi ya milioni 20.
Sekondari mtoto anapelekwa tena private school ada milioni 5, mpaka anamaliza form 4 inatumika jumla milioni 20.
A level tena shule nyingine ada mamilioni, chuo tena hapati mkopo analipiwa ada milioni kazaa kila mwaka.
Mtoto anahitimu chuo anarudi nyumbani hana ajira. Sababu hana ajira hivyo mtoto huyo anamuomba mzazi mtaji ili ajiajiri. Mzazi anampa mtaji mdogo chini ya milioni tano, ambao unatosha kufungua banda la chips tu ama duka la mangi la kawaida.
Imagine
Mzazi katumia zaidi ya milioni 50 kumsomesha tu mtoto mmoja. Ila mzazi huyo huyo hana uwezo wa kumpa mwanae mtaji wa kueleweka pale mtoto anapomaliza chuo na kukosa ajira. Ama mzazi hawezi kumpa mtoto wake urithi wa biashara ya kueleweka kama kina Mo dewji walivyopewa na baba zao.
Yaani elimu ya private school inalipiwa hela nyingi. Huku ni kama decorations ya duka, halafu kwenye kujiajiri mtoto huyo huyo mtaji anapewa mdogooo , ama hapewi mtaji kabisa anabaki anahangaika tu.
wazazi tubadilike,