Wazazi ni chanzo cha kuharibikiwa kwa watoto sanasana watoto wa kike

Wazazi ni chanzo cha kuharibikiwa kwa watoto sanasana watoto wa kike

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,434
Reaction score
3,553
Watoto wakike hasa wakisha pevuka wanaishi katika changamoto nyingi sana maana wanakumbana na Vista wishing vingi sana,changamoto hizi huongezeka pale inapotokea mtoto wa kike hapati attention ya kutosha kutoka kwa wazazi wake.

Mfano Kuna mtoto ana umri wa miaka 16 yupo kidato cha nne tangu aliponunuliwa sare za shule aliporipoti kidato cha kwanza mpaka leo wazazi hawajawahi mnununulia sare,wanamuona na sare nyingine na wala hawaulizi kazitoa wapi,ilifika sehemu binti huyu akamtamkia wazi mama mtu kwamba "sitaki shule bora nikaolewe",sasa sijui kanadhano kuolewa ndio mteremko?,obviously ni utoto.

Dada yake amekuwa akihangaika na maisha kila leo ana miaka 22 ana watoto 2 kila mtoto na baba yake,hata akiumwa wazazi hawajali.

Chanzo cha mahangaiko ya watoto ni wazazi kutowajibika ipasavyo kwa watoto wao,watoto wanaona hawana msaada wowote wanaamua waamue watakavyo pasipo uelewa wanadondokea katika majanga ambayo yanafanya maisha yawe mtihani zaidi.

Katharina mtoto anapohitimu masomo na anataka akaanze kujitegemea,either ndio kapata kazi ama hajapata kazi,ni muhimu kwa wazazi kujua anaenda kuanzaje maisha,kwa mtoto wa kiume afadhali lakini si wakike,unategemea ataenda kuanza vipi na hana kitu chochote?,kama sio ataenda kutafuta option kwa Dullah ili aji hifadhi au atumie njia nyingine ili ajikimu na amudu kupata mahitaji?.

Mzazi unataka ukamtembelee binti yako baada ya kwenda kujitegemea,anakupiga chenga,lakini unashupaza shingo kuelewa,unadhani ni ubize kumbe anaishi kihuni na Dulla.

Ama unaenda kumtembelea unakuta anavitu vya thamani na hana kazi,kama ana kazi lakini thamani ile haiendani na kipato chake,wala hata huulozi.

USHAURI.

Watoto wetu wanapoamua kwenda kuanza kujitegemea wazazi tuwape startup,kama anataka afanye biashara,basi akupe mchanganue wa biashara muwezeshe,kama amepata kazi basi mpe kodi ya pango angalau miezi 6,mnunulie vitu vyote vya ndani muhimu na ikiwezekana upatikanaji wa nyumba na mahitaji hayo ratibu wewe mwenyewe,mpe support kila inapobidi.

Mabinti ambao wazazi wao attention ni ndogo kwao wanaishi katika majaribu makubwa sana.
 
Watoto wengi wa single mother wanasikitisha mtoto badala ya kulelewa anajielea mwenyewe.
Kumuachia majukumu mwanamke watoto hata kama awe na kipato inamuathiri wakati fulani...Vyema wanaume tukawa na roho zile kufikiria upande wa pila sio kuendeshwa na nyege ni jambo la hatari sana.
 
Kumuachia majukumu mwanamke watoto hata kama awe na kipato inamuathiri wakati fulani...Vyema wanaume tukawa na roho zile kufikiria upande wa pila sio kuendeshwa na nyege ni jambo la hatari sana.
Ikiwa hauna uwezo wa kumlea huyo mtoto mpeleke kwa baba yake
 
Watoto wakike hasa wakisha pevuka wanaishi katika changamoto nyingi sana maana wanakumbana na Vista wishing vingi sana,changamoto hizi huongezeka pale inapotokea mtoto wa kike hapati attention ya kutosha kutoka kwa wazazi wake.

Mfano Kuna mtoto ana umri wa miaka 16 yupo kidato cha nne tangu aliponunuliwa sare za shule aliporipoti kidato cha kwanza mpaka leo wazazi hawajawahi mnununulia sare,wanamuona na sare nyingine na wala hawaulizi kazitoa wapi,ilifika sehemu binti huyu akamtamkia wazi mama mtu kwamba "sitaki shule bora nikaolewe",sasa sijui kanadhano kuolewa ndio mteremko?,obviously ni utoto.

Dada yake amekuwa akihangaika na maisha kila leo ana miaka 22 ana watoto 2 kila mtoto na baba yake,hata akiumwa wazazi hawajali.

Chanzo cha mahangaiko ya watoto ni wazazi kutowajibika ipasavyo kwa watoto wao,watoto wanaona hawana msaada wowote wanaamua waamue watakavyo pasipo uelewa wanadondokea katika majanga ambayo yanafanya maisha yawe mtihani zaidi.

Katharina mtoto anapohitimu masomo na anataka akaanze kujitegemea,either ndio kapata kazi ama hajapata kazi,ni muhimu kwa wazazi kujua anaenda kuanzaje maisha,kwa mtoto wa kiume afadhali lakini si wakike,unategemea ataenda kuanza vipi na hana kitu chochote?,kama sio ataenda kutafuta option kwa Dullah ili aji hifadhi au atumie njia nyingine ili ajikimu na amudu kupata mahitaji?.

Mzazi unataka ukamtembelee binti yako baada ya kwenda kujitegemea,anakupiga chenga,lakini unashupaza shingo kuelewa,unadhani ni ubize kumbe anaishi kihuni na Dulla.

Ama unaenda kumtembelea unakuta anavitu vya thamani na hana kazi,kama ana kazi lakini thamani ile haiendani na kipato chake,wala hata huulozi.

USHAURI.
Watoto wetu wanapoamua kwenda kuanza kujitegemea wazazi tuwape startup,kama anataka afanye biashara,basi akupe mchanganue wa biashara muwezeshe,kama amepata kazi basi mpe kodi ya pango angalau miezi 6,mnunulie vitu vyote vya ndani muhimu na ikiwezekana upatikanaji wa nyumba na mahitaji hayo ratibu wewe mwenyewe,mpe support kila inapobidi.

Mabinti ambao wazazi wao attention ni ndogo kwao wanaishi katika majaribu makubwa sana.
Hapo kwenye startup nimekuelewa sana mkuu. Watoto wanapitia nyakati ngumu sana baada ya kumaliza masomo wakiwa ktk harakati za kujitegemea, yani wanateseka
Na si hao tu wa kike, hata wa kiume wanapitia shida nyingi pia, ndomaana unaweza mkuta kajiweka kwa mshangazi mmoja anavuta siku, we unahisi anapambana kumbe mifumo ni migumu sana bila support ya wazazi
Wazazi tuyajue majukumu yetu kwa watoto hata kama wakiwa watu wazima, maana mtoto ni mtoto tu.
 
Hapo kwenye startup nimekuelewa sana mkuu. Watoto wanapitia nyakati ngumu sana baada ya kumaliza masomo wakiwa ktk harakati za kujitegemea, yani wanateseka
Na si hao tu wa kike, hata wa kiume wanapitia shida nyingi pia, ndomaana unaweza mkuta kajiweka kwa mshangazi mmoja anavuta siku, we unahisi anapambana kumbe mifumo ni migumu sana bila support ya wazazi
Wazazi tuyajue majukumu yetu kwa watoto hata kama wakiwa watu wazima, maana mtoto ni mtoto tu.
Nimelizungumzia kwa watoto wote kike na kiume mkuu
 
Hapo kwenye startup nimekuelewa sana mkuu. Watoto wanapitia nyakati ngumu sana baada ya kumaliza masomo wakiwa ktk harakati za kujitegemea, yani wanateseka
Na si hao tu wa kike, hata wa kiume wanapitia shida nyingi pia, ndomaana unaweza mkuta kajiweka kwa mshangazi mmoja anavuta siku, we unahisi anapambana kumbe mifumo ni migumu sana bila support ya wazazi
Wazazi tuyajue majukumu yetu kwa watoto hata kama wakiwa watu wazima, maana mtoto ni mtoto tu.
Mimi alternative zangu ni biashara napambana ziwe zenye mantiki naomba Mungu zijiweze nikiwa hai,wakati huo nawaandaa wanangu na kiwafundisha namna biashara zangu naziendesha na wao nawaambia waje wawafundishe watoto wao ili tusije tengene ukoo masikini milele.
 
Ikiwa hauna uwezo wa kumlea huyo mtoto mpeleke kwa baba yake
Wanawake wengi malezi ya mtoto katika morals yanawashinda ,wanaweza kumudu kila kitu lakini kwenye suala la morals hawatoboi ni wachache mno sauti ya baba ina nguvu kubwa sana katika kufigure morals za watoto
 
Tuangalie upande mwingine wa shilingi . Hata mwanaume kuzaa nje hovyo , ku maintain moral kwa hao watoto ni ngumu sana.
 
Tuangalie upande mwingine wa shilingi . Hata mwanaume kuzaa nje hovyo , ku maintain moral kwa hao watoto ni ngumu sana.
Ninazungumzia wanaume wanaojitambua,hakuna mwanaume anatejitambua halafu anazaa zaa kama jogoo,hakuna wanaume wengi wana namna hiyo ni malaya waliojifucha ktk ndoa,hata kwa bahati mbaya tu ni kosa ambalo likitokea kwangu nahisi hukumu yake ni kifo,unazaa mtoto halafu anaishi ktk mazingira magumu na hata hujali watu wanamna hii akili zao si timamu
 
Watoto wengi wa single mother wanasikitisha mtoto badala ya kulelewa anajielea mwenyewe.
Wewe naye unajifanyaga una akili kumbe ndio wale wale tu, ni wapi palipoandikwa watoto wanaoharibikiwa ni wanaolelewa na single mothers tu, je umefanya utafiti wowote rasmi kiasi cha kuja na hilo hitimisho au ndio mihemko tu
 
Wewe naye unajifanyaga una akili kumbe ndio wale wale tu, ni wapi palipoandikwa watoto wanaoharibikiwa ni wanaolelewa na single mothers tu, je umefanya utafiti wowote rasmi kiasi cha kuja na hilo hitimisho au ndio mihemko tu
Amesema wengi,sio wote nafikiri muktadha upo hapo ndugu
 
Nadhani kama mtu haupo fully commited kulea, kutunza(kifedha) watoto/mtoto bora USIZAE, si vizur kusababishia wengne matatzo including huyo mtoto/watoto
 
Back
Top Bottom