Hivi kuna mahali niliposema wanafanana?! Nimekuambia hivi wabantu wale wale wawepo wa eneo moja wawe ndo wabaya kuliko wote na wengine ndo wazuri?! Hilo la kwamba sio wote wabantu nimeshalisema; angalia post uliyoni-quote sentensi ya mwisho nimemaliziaje!!!Kwa hio wabantu wote wanafana mkuu? Wachaga wnafanana na waha? Wahaya wanafana na wasukuma? Wasikuma ni mijitu yenye mili na nguvu lakini wapogoro hawajai hata mkono,wabantu wanafana vipi?
Hata ndani ya kabila moja kooo moja na nyingine hawafanani sembuse kabila na kabila.Kuna tofauti kubwa sana kati ya wabantu.
Hata hivyo raia wa Tanzania sio wabantu tu.Kuna nilotics(Masai), hotento mfano wahadzabe, wasandawe sio wabantu, ndugu zao ni Khoisan (bushmen) wa Afrika kusini.Tanga l,Tabora,Shyintanga, Mbeya huko kuna shombedhombe wa kiarabu.
Jaribu kujielimisha kuhusu historia ya watu Hapa Tz, watu hatufanani kivile, wazaramo wembamba warefu wastani huwezi kukuta bonge, utawafananisha na wanyakyusa mwili nyumba? Japo wote wabantu?
Suala sio kufanana bali suala ni "wale wana sura mbaya" kuliko wengine. Watu wanaweza wasifafane hata punje lakini wote wakawa ama wazuri sana au wana sura mbaya sana.