mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,272
- 1,210
yeyote anayegusa muungano huenda na maji by sheikh ilungawazanzibari wengi wamesikika wakiiponda rasimu ya katiba mpya iliyozinduliwa jana na makamu wa rais,dr.mohamed gharib bilal. Sehemu kuuw aliyoilenga ni ya uwepo wa serikali tatu: Serikali ya jamhuri ya muungano watanzania,serikali ya tanzania bara na serikali ya zanzibar.
'tulichotaka ni zanzibar kuwa na mamlaka kamili na yenye vyombo vyake vyote huru vya dola kama jeshi,polisi na mahakama.pia tulitaka,kama kutatakiwa muungano, basi uwe muungano wa mkataba. Serikali tatu hazina maana yoyote kwetu.hatukusikilizwa.tumepuuzwa. Hatutakubali' wamesikika wazanzibari mbalimbali walihojiwa na vyombo mbalimbali vya kimataifa kama bbc,dwna voa jioni hii.
ni kweli wazanzibari hawakusikilizwa? Can we dare to let zanzibar go now?
mzee tupatupa wa lumumba,dar es salaam.