Wazanzibari kuajiriwa Tanganyika (Bara) ni sawa?

Wazanzibari kuajiriwa Tanganyika (Bara) ni sawa?

Pasco;

Hakuna ujinga wala mjinga hapa nadhani tumetofautiana mtizamo na uelewa wa mambo. Katiba ya JMT imebainisha mambo ya muungano ambayo yanashughulikiwa na serikali ya JMT.

Pia kuna mambo ya Tanzania bara(Tanganyika) ambayo pia yanashughulikiwa na serikali ya JMT kwa sababu serikali ya JMT imevaa koti la muungano. Katiba haijasema wazanzibari wanahaki na mambo ya Tanzania bara; ni ulimbukeni wa kukariri mambo na kutukuza msimamo/mtazamo wa viongozi wa CCM.

Nakubaliana na wewe kuhusu ajira katika taasisi au idara zihusuzo mambo ya muungano. Baada ya maelezo haya nadiriki kusema wewe ndiye mjinga.
 
Last edited by a moderator:
Hivi Kuna mwalimu mtanganyika mwenye sifa ameachwa kuajiliwa kwa sababu ya walimu Kutoka zanzibar?

Issue hapa ni je, wazanzibari wanahaki ya kuajiriwa Tanzania bara katika taasisi au idara ambazo si za muungano? jibu swali acha kukurupuka.
 
Kwani nani anao taka muungano kama si nyinyi Tanganyika mbona jina lenu hamlitaki kwanza likubalini jina lenu mbona wazanzibar hawajiiti watanzania nyinyi mkiitwa watanganyika hamnaki
 
Nimeshapiga kelele sana jamani,tunanyonywa na huu muungano wa chuna buzi,hili zimwi tutaliondoa lini?

Hili zimwi tuliondoe kwa kuikataa katiba inayopendekezwa. Pia uchaguzi mkuu ujao tuchague chama/vyama vingine vishike dola mabadiliko yatapatikana.
 
Wewe upo Nchi gani? Kwani haujui kuwa Cha Zanzibar ni cha Zanzibar lakini cha Tanganyika ni cha woote?
Mkuu we waache tu mana vichwa vyao vigumu kuelewa, hawajui maana ya muungano nakila siku elimu inatolewa humu, ni kwamba sisi wa bara hatuna mamlaka na mambo ya zanzibar na ndiyo mana huwezi kumkuta mbunge wa bara kwenye bunge la zanzibar ila wazanzibar wapo kwenye bunge la Tanzania. Sisi wa bara tuliuza nchi ila wenzetu wajanja wamekomaa nayo. Ndiyo mana mzee wetu Warioba anakomaa kurudisha nchi yetu ya Tanganyika.
 
Unaweza kufafanua ubaguzi kivipi? kwani elimu ya msingi na sekondari ni mambo ya muungano?

Jee ikiwa idadi haikutosheleza ya walimu munao hitaji mutaacha au mutaagiza Nigeria kwa kuwalipa madola mamilioni?
 
Hakuna ujinga wala mjinga hapa nadhani tumetofautiana mtizamo na uelewa wa mambo. Katiba ya JMT imebainisha mambo ya muungano ambayo yanashughulikiwa na serikali ya JMT. Pia kuna mambo ya Tanzania bara(Tanganyika) ambayo pia yanashughulikiwa na serikali ya JMT kwa sababu serikali ya JMT imevaa koti la muungano. Katiba haijasema wazanzibari wanahaki na mambo ya Tanzania bara; ni ulimbukeni wa kukariri mambo na kutukuza msimamo/mtazamo wa viongozi wa CCM. Nakubaliana na wewe kuhusu ajira katika taasisi au idara zihusuzo mambo ya muungano. Baada ya maelezo haya nadiriki kusema wewe ndiye mjinga.
mjinga daima kumwita mjinga hawezi kukubal ila mwerevu na anaetaka kujua kumwita mjinga ni kawaida kwake sasa najua umeleta huu uzi si kwa kutaka ufafanuzi wetu! ila kwa kudhihirisha ujinga wako. si ungeenda wizara ya ajira na elimu kujua zaid kamaulitaka kujua? ulitegemea umu kukuta wizara ikujibu? jf ina watu wengi kama wewe wenye maono ya kuandika ujinga na vijusual vya kipumbavu. " eti nimeota manyoya kuanzia tumbon mpaka sehemu za siri? ama utakesha jf hutatoka ujinga
 
mtoa mada roho inakuuma kwa kuwachukia wazanzibari ..ngoja nikueleze hao wameajiriwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imeundwa na Tanganyika na Zanzibar na wala hawaajiriwa na Tanganyika halafu Elimu ya sekondar ni suala la muungano...
 
kali kuliko yote mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa ( LAAC) anatoka pemba ambapo tamisemi siyo wizara ya muungano. ajabu
 
sio sawa kwani wao wanatubagua Sana nchini kwao zenji
 
Pasco;
Hakuna ujinga wala mjinga hapa nadhani tumetofautiana mtizamo na uelewa wa mambo. Katiba ya JMT imebainisha mambo ya muungano ambayo yanashughulikiwa na serikali ya JMT.
Mkuu FreedomTZ, tofauti za mitazamo zinaweza kutokea pale tuu kwenye options zinazotegemea poit of view na haswa ideas, lakini kwenye hard facts, hakuna cha mtazamo wala kutofautia wala uelewa hapa ni kujua tuu, kama hujui ni ujinga ila ukishajulishwa unajua. Mfano water is H20, this is hard fact, hakuna cha mtazamo wala uelewa ni kujua tuu, hujui mjinga!.a ni kwa raia
Pia kuna mambo ya Tanzania bara(Tanganyika) ambayo pia yanashughulikiwa na serikali ya JMT kwa sababu serikali ya JMT imevaa koti la muungano. Katiba haijasema wazanzibari wanahaki na mambo ya Tanzania bara; ni ulimbukeni wa kukariri mambo na kutukuza msimamo/mtazamo wa viongozi wa CCM.
Uraia ndio somo la kwanza za civic education kwa darasa la 3!. Uraia ni jambo la muungano. Haki za uraia ni kwa raia wote wa JMT wakiwemo Wanzanzibari.

Kwa set yetu ya Muungano wetu wa serikali mbili, serikali ya Tanganyika imekuwa fused kwenye serikali ya Muungano, hivyo Tanganyika haipo, na mambo yote ya Tanzania bara ambayo siyo ya muungano, yako fused ndani ya muungano, the dividing line between mambo ya Tanzania Bara na mambo ya Tanzania is very thin, hivyo kila kitu cha Tanzania bara ni cha Tanzania ikiwemo suala la ajira!.

Kutolijua hili ni ujinga tuu, ila pale ambapo unajulishwa na bado unang'ng'ania ni zaidi ya ujinga. Mtu kuwa mjinga sio kosa, wala kutojua kitu sio kosa, bali pale unapojulishwa na bado ukawa hujui ni tatizo!.

Naomba kukiri Pasco wa JF naye pia ni mjinga mjinga kwenye baadhi ya issues!.

Pasco
 
Ubaguzi upo Zenji nitajie mbunge wa bara ambaye ni waziri kule zenji? Na kwa nini wabunge wa Tanganyika hawanusi baraza la wakilishi? Na kwa nini hawajilipi mishahara kwa pesa zao? Tambua kuwa walipa kodi wa Tanganyika ndiyo huwalipa mishahara Utitiri wa watumishi wa Zanzibar kwenye Nchi ndogo Kama kijiji cha kasanvulasole.

wee nyang'au TRA wanachukua kodi huku, na jk akienda kutembeza nakuli nje huko anaomba kwa tz yote sio kwa tanganyika tuu.
ZRB wanakusanya mapato znz tu, hawaji tanganyika kukusasanya, utatakaje kodi yutu mutumie nyinyi?
 
Wanzibar ni wanjanja mbele ya watanganyika,

Nchi ndogo kuliko hata Wilaya ya ilala , Lakini ina watumishi, mawaziri,wabunge Utitiri kuliko hata nzige na woote wanalipwa mishahara na posho na Tanganyika, Serikali ya Tanganyika ni buzi la Zanzibar inachunwa mpaka huruma na hawajitambui hadi leo.

Chao ni chao lakini cha Tanganyika ni cha woote! Huu ni muungano Analogia na wa Ajabu uliosalia Duniani, muungano wenye Rais na baraza la mawaziri kibao huku wabunge wa Zanzibar wao wanakula posho Dodoma na wanakuwa mawaziri Tanganyika lakini wabunge wa tanganyika ni marufuku huko zenji. Huu ni muungano Hasara kwani inatumika pesa nyingi sana kuubembeleza na kuwalea Utitiri wa watumishi waliojilundika huko zenji.

Tiba pekee ya hii Kero ni kuwa na Serikali moja tu Rais mmoja.

bajeti yenu sisi tunachangia, nyinyi bajeti yetu hamchangii, ndo mana nyinyi hamna nafasi uku
 
Watanganyika maadam munautaka muungano tena munalalamika kwa kipi. Kila tukitaka nchi yetu ili tupumue na ukoloni wa mtu mweusi nyie hamtaki kwa hiyo acha yakufikeni ni astahili yenu.

Bye the way baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 tutakuwa na muungano wa heshima na wa sawa kwa kila upande na hizi longo longo zenu zisokwisha siku zote zitaondoka.
 
Nimefuatilia tangazo la TAMISEMI kuhusu ajira za walimu mwaka 2015 nikabaini kuwa Wazanzibari ambao hawastahili kuajiriwa Tanzania bara katika idara au taasisi isiyohusu mambo ya muungano wamepangwa katika Halmashauri mbalimbali Tanzania Bara kwa ajira katika shule za sekondari. Je serikali imetumia kigezo gani kutoa ajira hizo?

source: http://www.pmoralg.go.tz/noticeboar...u_Sayansi_2015_OWM-TAMISEMI_30April2015_3.pdf

Tatizo lako you don't get the big picture. Unaongelea ualimu na petty things. Unajua wanzanzibari tumewachukulia hazina, mambo ya nje na jeshi? Kila mtu mwenye akili anajua Serikali yenye nguvu ipo magogoni na siyo Unguja. Kwa hiyo waacheni japo wapate hivyo vidogo vidogo achene kuwa walafi.
 
mjinga daima kumwita mjinga hawezi kukubal ila mwerevu na anaetaka kujua kumwita mjinga ni kawaida kwake sasa najua umeleta huu uzi si kwa kutaka ufafanuzi wetu! ila kwa kudhihirisha ujinga wako. si ungeenda wizara ya ajira na elimu kujua zaid kamaulitaka kujua? ulitegemea umu kukuta wizara ikujibu? jf ina watu wengi kama wewe wenye maono ya kuandika ujinga na vijusual vya kipumbavu. " eti nimeota manyoya kuanzia tumbon mpaka sehemu za siri? ama utakesha jf hutatoka ujinga

Hata mimi nakuona wewe ni mjinga tu! Kutofautiana mimi na wewe haina maana mimi ni mjinga.

Ukitaka kujibu hoja ni lazima utumie lugha ya kashfa? Hakuna ajuaye kila kitu na hakuna majibu yasiyo sahihi. Kila mtu anauwezo wa kufikiri; Asiyejua humwita mwingine mjinga? Hicho ndicho alichofanya Pasco na wewe kwa kutokuelewa umeamua kumsapoti. Ukweli utabaki palepale kuna mambo ya Muungano na yasiyo ya muungano katika Jamhuri ya Tanzania.
 
Tatizo lako you don't get the big picture. Unaongelea ualimu na petty things. Unajua wanzanzibari tumewachukulia hazina, mambo ya nje na jeshi? Kila mtu mwenye akili anajua Serikali yenye nguvu ipo magogoni na siyo Unguja. Kwa hiyo waacheni japo wapate hivyo vidogo vidogo achene kuwa walafi.

Mkuu wile asante kwa mchango wako. Swali je, haya ni kwa mujibu wa katiba ya JMT(1977) au ni busara au mazoea ya viongozi wetu?
 
Surveyors mbona hatupati direct employment jaman au ndo kusema selikari haitutambui sisi Wapima?
 
Ubaguzi upo Zenji nitajie mbunge wa bara ambaye ni waziri kule zenji? Na kwa nini wabunge wa Tanganyika hawanusi baraza la wakilishi? Na kwa nini hawajilipi mishahara kwa pesa zao? Tambua kuwa walipa kodi wa Tanganyika ndiyo huwalipa mishahara Utitiri wa watumishi wa Zanzibar kwenye Nchi ndogo Kama kijiji cha kasanvulasole.

ndio nani hao??
 
Back
Top Bottom