Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Ni wabara tu waliwafitinisha hasa huyo jamaa mbabe John Okello. Yeye alikuwa na kiherehere zaidi cha kuwakimbiza waarabu Zanzibar.
Lakini wenyeji ukiongea nao wanasema wala hakukua na shida yoyote ile na walitamani watawala waendelee kuwepo maana walikuwa wanawapatia hadi tende bure kabisa.
John Okello hakuwa anajua utamu wa Tende na ushamba wake ndo ulisababisha akapambane na watawala. Inaumiza sana. Leo Zanzibar ingekuwa kama Dubai.
Lakini wenyeji ukiongea nao wanasema wala hakukua na shida yoyote ile na walitamani watawala waendelee kuwepo maana walikuwa wanawapatia hadi tende bure kabisa.
John Okello hakuwa anajua utamu wa Tende na ushamba wake ndo ulisababisha akapambane na watawala. Inaumiza sana. Leo Zanzibar ingekuwa kama Dubai.