Hahahaaaampwaaa wamekutana nawasiojulikana nini dohRoot ya kupitia Suda. Kuitafuta Egypt iliukwakwae pipa uingie ulaya katikati hpo lazima ukutane na mambo ya kutisha....... Kuna watu wengi mpk Leo wamepoteaaa hawajulikani walipo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wapuuze. Nchi yetu imekuwa na tabia fulani ya ukilaza kiasi ambacho mtu anadhani huwezi kusimuliwa na ukajua mengi namna hiyo. Mtu unapokuwa muungwana, msikilizaji na mdadisi una nafasi ya kujua wengi.Mimi mwakahuu mwezi wa nane ndipo nafikisha miaka 31, so do your maths utajua nisingeweza kuzamia kipindi hicho nilikuwa na umri mdogo.
Najua unashangaa kwanini nina details nyingi za hii stori, ni kwamba alitaka kuandika kitabu aka narrate mimi nikawa nasikiliza nakichapa ila baadae aghairi. Na ni kitu ambacho nikikaa naye lazima anipe kisa flani so ni story ambazo nimezisikia sana kwa kujirudia mara kibao
Hii itabidi tutafute nauli kabisa twende kihalali!kma una connection usisite kunipa aisee
Usishindane na opener we mtotoSi unajua baada ya huo kama haujajiwela sawa kimwili, kiakili au hata kiuchumi basi unajikuta una muonekana kama wa mzee, hata mishe za kukimbizana zinaweza kukushinda
Kama nakuona yani🤣🤣🤣🤣Hii itabidi tutafute nauli kabisa twende kihalali!kma una connection usisite kunipa aisee
Kwa hiyo lazima upigwe upara ndio upewe papers ?!Ndy hapo inakuwa shida,,,maana unaposema gay wazungu wanamaanisha shoga,,sasa uwe mende au shoga ,,,au ,,,wote ni group moja,,,sasa bahati upate punga akupende,,,,umong'onyoe ..kama wewe ukipendwa na mende basi hesabu maumivu,,,maana jamaa atalalamika mbona shoga lenyewe hataki KUGEGEDWA au hatafunwi?hapo utashindwa vigezo mkuu...,,lazima uliwe au uwe mende ili upate makaratasi kwa urahisi
Jamaa akiwa Mexico yeye na wenzake walianzisha michezo ile ya feymanian wakaflash watu, sasa mmoja kati ya watu walioflash kumbe alikuwa ni ndugu wa member wa cartel gang, so akaenda kumwambia ndugu yake kuwa kuna watu wana mchongo wa kutngeneza dollar.Wapuuze. Nchi yetu imekuwa na tabia fulani ya ukilaza kiasi ambacho mtu anadhani huwezi kusimuliwa na ukajua mengi namna hiyo. Mtu unapokuwa muungwana, msikilizaji na mdadisi una nafasi ya kujua wengi.
Umenikumbusha mbali... Enzi hizo hakuna nguo wala magari kama sasa hivi. Wajanja wenye connections tu ndiyo walikuwa wanavipata. Akiteremka baharia ana ma-jeans, T shirts na raba huku anakokota 504 likiitwa wenyewe wakiliita ''guruwe''. Wapambe kibaaao na watoto wazuri wa mtaani wote ni wake. Anakaa huku aki-spend sana kama mwezi hivi huyoo.... anaondoka. Nyuma anaacha watu wenye usongo wa kuzamia wawe na maisha kama yale.Mabaharia ndy walikuwa wanatesa mjini
Wakirudi tu viwanja hawagusiki
Pesa, nguo, Raba wao tu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mabaharia ndiyo walijua na kupata connection zoteUmenikumbusha mbali... Enzi hizo hakuna nguo wala magari kama sasa hivi. Wajanja wenye connections tu ndiyo walikuwa wanavipata. Akiteremka baharia ana ma-jeans, T shirts na raba huku anakokota 504 likiitwa wenyewe wakiliita ''guruwe''. Wapambe kibaaao na watoto wazuri wa mtaani wote ni wake. Anakaa huku aki-spend sana kama mwezi hivi huyoo.... anaondoka. Nyuma anaacha watu wenye usongo wa kuzamia wawe na maisha kama yale.
Kitambo watu walizamiaHahahaaaampwaaa wamekutana nawasiojulikana nini doh
Duh hatariJamaa akiwa Mexico yeye na wenzake walianzisha michezo ile ya feymanian wakaflash watu, sasa mmoja kati ya watu walioflash kumbe alikuwa ni ndugu wa member wa cartel gang, so akaenda kumwambia ndugu yake kuwa kuna watu wana mchongo wa kutngeneza dollar.
Kumbe lile lilikuwa ni kosa asubuhi wazee wakatimba full ma AK 47 wakavamia hotel wakawabeba na hakuna aliyeingilia.
Wakawaweka kwenye boot za gari wanakuja kushtuka wanatolewa kwenye boot wako kwenye mjengo mmoja wa hatari. Jamaa anasema anaona madem wanaoga kwenye swimming pool na majamaa wamekaa wanakula starehe wao wanatolewa wanaenda wanafungwa kwenye miti wanaanza chapwa bakora kwa mijeredi. Na ndipo mjeredi ulijikunja kwenye korodani moja jamaa alivyovuta ukamchana.
Anasema walipigwa sana na hakuna wala aliyeonyesha kujali si wale madem wale wale madon waliokuwa wanakula bata.
Jamaa anasema kati yao kulikuwa na don flani alikuwa na dred halafu black flani tofauti na wenzake akatoka kwenye maji akaja pale akawatazama, akawauliza wamefanya nini, ndo wakamwambia kuwa walikuwa wanatapeli watu kuwa wanatengeneza dollar.
Jamaa akawafuata akawauliza wanatoka wapi, wakamjibu afrika, ndipo jamaa akafurahi kusikia wametoka afrika.
Akawahoji hoji wanaenda wapi, wakamwambia walikuwa wanataka enda USA. Basi yeye ndiye akatoa order wawarudishe.
Wakaenda kutupwa katikati ya mji. Jamaa alilazwa hospitali kama mwezi hivi...
Yani jamaa ana mastory mengi kwanza mpaka watoke mexico maswahibu mengi tu
Yaani mie natamani kulipua kbs mijitu ikae sawa akili !argghhK
Kama nakuona yani🤣🤣🤣🤣
Shoga anza kujiandaa kisaikolojia kabisa ..hhhaa ...bora kufia hata Ethiopia huko😖😖😖Na mimi nipeni connection tuwe 3 jamani. Lol
Mkuu pole sana kwa hustle zakoSiku hizi mambo yamekuwa rahisi kwasababu ya science na technology. Mana kipindi kile hata simu zilikuwa adimu. Information pia ilikuwa limited, siku hizi unaweza ingia internet ukapata taarifa ya uendakohata kabla hujafika.
Waethiopia wenyewe wanakimbia ethiopia wako tayari kuwekwa kwenye macontainer kama matikitiki hadi wanakufa kwa kukosa hewa. Wako tayari wakauzwe libya wanakimbia nchi yao wee ndo wataka ukafie huko?Shoga anza kujiandaa kisaikolojia kabisa ..hhhaa ...bora kufia hata Ethiopia huko😖😖😖