Kitesurfing flamingo
Member
- Sep 20, 2019
- 11
- 19
Zanzibar ina rahisishsje?
Hahaaaaa hii miaka vijana wa enzi hizo kuanzia Magomeni,Kagera ,Manzese na Sinza walizamia sana hizo nchi wengine walitusua kimaisha wengine wakaishia kuwa mateja na wengine waliofanikiwa kufika Ulaya wakajifanya wakimbizi wa kisiasa zanzibar wakatusua hivyohivyo ila uzamiaji wa kihistoria ulikuwa enzi hizo sasa hivi tii sheria bila shurutiNimekwambia rafiki yangu ni miaka hiyo ya 90 ndo kwanza nilikuwa nimeanza shule
Mwandende nimekubali hii comment maana hii ndo huwa slogan yangu . Ndugu ntawakuta hukohuko ninakoenda . Kulala nje siku kadhaa hakunitishi as long as sio milele Wala hakuniuiMkuu popote uendako duniani ,hata kama huna ndugu ,,tafuta black people yeyote muafrica ndy atakuwa ndugu yako...ulaya watu weusi wote ni ndugu..niamini mm.,au ukikutana na mtanzania mwenzako yeyote ndy ndg yako.. Kuwa na amani,,..weka passport mfukoni ,, begi mgongoni baharia,,,maneno mbele....usiogope
Sana mkuu,,,,mawazo ya ulaya hayawezi kuwa sawa kama mawazo ukiwa hapa bongo...mbele kwa mbele Baharia.... Passport ndy mpango mzima,,,,Mwandende nimekubali hii comment maana hii ndo huwa slogan yangu . Ndugu ntawakuta hukohuko ninakoenda . Kulala nje siku kadhaa hakunitishi as long as sio milele Wala hakuniui
Gay Maana yake ni yule anayefanya mapenzi na jinsia moja so haijalishi anafanya au anafanywaSio kunitokea mkuu,,,unajuwa kwann mzungu anayefanywa na anayeyanya wote wanaitwa GAYS?anamaana mende yeyote lazima nayeye awe analiwa ,,,fuatilia asili ya mende,,utakuta na yeye alishafumuliwa kwa kipindi chake,,,ila yule shoga amenogewa na kufanywa,,,kwani hujasikia wahuni wakisema habari za mchicha mwiba?kwamba ukiuchuma uwe na tahadhari,,, usije ukakuchoma,,sasa wewe mgegede shoga halafu lala uchi matako juu kama upo na kimada wako,,, kama hujashituka shoga yupo mgongoni, anabwabwaja maneno hayaeleweki,,,na wakishakuwa mgongoni chuma kinaelea usawa wa bahari humtoi tena mkuu,,wewe utulie uliwe tu,,,,,,kwahyo,, mkuu wapo washoga wanafanya na wao wanafanywa....ndy maana mzungu wote kawaita GAYS....
Kwahyo hata mwanamke kwa mwanamke pia ni gay?au lesbian...Gay Maana yake ni yule anayefanya mapenzi na jinsia moja so haijalishi anafanya au anafanywa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwandende ...nipo viwanja fran hapa hapa Africa ila nina mpango wa kumwagika Finland mda wowote. Vip pako fresh?Kwahyo hata mwanamke kwa mwanamke pia ni gay?au lesbian...
Chaka zuri hilo mkuu,,,wazungu wa roho haoMwandende ...nipo viwanja fran hapa hapa Africa ila nina mpango wa kumwagika Finland mda wowote. Vip pako fresh?
Gayism n Ushoga - unahusu mapenzi ya jinsia 1 ya kiume,Kwahyo hata mwanamke kwa mwanamke pia ni gay?au lesbian...
Sasa niliposema gay ni anayeliwa dume,,au anayekula dume nilikosea wp?Gayism n Ushoga - unahusu ms
apenzi ya jinsia 1 ya kiume,
Lesbianism n Usagaji - unahusu mapenzi ya jinsia 1 ya kike.
Oky ngoja nitimbe pande hizo. Miezi gani ya summer kule maana sitaki kwenda kipindi cha winter nikatubuChaka zuri hilo mkuu,,,wazungu wa roho hao
Wanageneralize na kuita gays wote. Either awe mwanaume au mwanamke.Kwahyo hata mwanamke kwa mwanamke pia ni gay?au lesbian...
Kuanzia mwezi wa tatu..baridi inaanza kupunguwa,,hadi mwezi wa sita ndy summer imechangaya sana,,na kuisha mwezi wa 9,,,mwezi wa kumi, summer anaanza kupoteza,,,kuanzia kumi na moja baridi inaanza tena kushika kasi,,December ndy hadi barafu baadhi ya inchi sasa,,,na kadiri inavyozidi miezi ndy inakuwa juu,,halafu inaanza kupunguwa kuanzia mwezi wa tatu.Oky ngoja nitimbe pande hizo. Miezi gani ya summer kule maana sitaki kwenda kipindi cha winter nikatubu
Oky fresh nimekupataKuanzia mwezi wa tatu..baridi inaanza kupunguwa,,hadi mwezi wa sita ndy summer imechangaya sana,,na kuisha mwezi wa 9,,,mwezi wa kumi, summer anaanza kupoteza,,,kuanzia kumi na moja baridi inaanza tena kushika kasi,,December ndy hadi barafu baadhi ya inchi sasa,,,na kadiri inavyozidi miezi ndy inakuwa juu,,halafu inaanza kupunguwa kuanzia mwezi wa tatu.
Kim. kina nani tena mkuuKuna wapumbavu wamevamia huu Uzi na story za Mashoga wameharibu Uzi mazima.
Wajinga Sana Hawa wapuuzi
Kuna jamaa linaitwa mwandende na mwenzake.Kim. kina nani tena mkuu
mwandende mtu poa anatoa madini ya viwanjani. Au we hutaki kwenda EuropaKuna jamaa linaitwa mwandende na mwenzake.