Way forward 2018-2020

Way forward 2018-2020

Hizi ramli za kusema CCM inapukutika mlizipiga mwaka 2015 naona mmeanza tena kuzipiga kuelekea mwaka 2020.

Mtu asiyeifahamu CCM vizuri anaweza kujifariji kutokana na ujinga wake.

Wapembuzi wa masuala ya kisiasa wanafahamu CCM ya mwaka 2020 itakuwa imara zaidi ya ile ya mwaka 20215.

CCM ni zaidi ya chama cha siasa na nikisema zaidi ya chama cha siasa katika siasa za Afrika watakaojua maana yake ni wale wanaojua maana ya chama dola.

Endeleeni kujifariji!
Nuhu alipoanza kujenga safina walimcheka hata gharika ilipoanza. Endelea kujifariji.
 
Kufikia miaka 10 ya awamu hii kule kwa bwana Yule kutakuwa inchi nyingine, maana kila kitu kimeelekezwa huko, tusishangae wakiomba kujitenga na kudai uhuru wao.
 
Nyerere aliwahi kusema,watanzania wanataka mabadiriko.Wasipo yapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM.Pia mwl.alisema CCM haitatawala milele itakufa na watakaoiua ni wanaCCM wenyewe.Pia akasema upinzani Wa kweli utatoka CCM.Sasa yametimia.
 
Endeleeni na ufitini, sie twaendelea na maendeleo.
Maendeleo yapi sasa,kupenda kwingine huku ni ugonjwa
Mshana nakuelewa Sana lakini Kati ya vitu ambavyo vinanipa shida Ni pamoja na kuamini kuwa mwiguli kabanwa na atakimbilia upinzani..kati ya watu ambao najua nje ya ccm hawawezi Ku survive Ni mwigulu..na aitoka ccm atakua mnafiki kuliko polepole
 
Ni vizuri sana umejijibu mwenyewe. Kama ilishindikana huko nyuma kipi kinakupatia nafasi kudhani wataweza wakati huu? Ubaya wa upinzani ni kwamba hawapo wamoja na hakuna nidhamu lakini wenzao CCM pamoja na ubaya wao wapo kama mafia hawacheki na ujinga inapokuja kuki save chama chao. Lowasa alikua na watu wengi sana wakati wa mchujo mpaka waliimba Lowasa sema, walipokemewa walikaa kimya. nani alimfuata Lowasa CDM? Ningependa sana CCM isambaratike lakini moyo unaona bora hili jini tulijualo kuliko watu kama CDM wasiokua na msimamo leo wanamsema mtu ni fisadi kesho wanampakata.
wise man. good point.
 
Hizi ramli za kusema CCM inapukutika mlizipiga mwaka 2015 naona mmeanza tena kuzipiga kuelekea mwaka 2020.

Mtu asiyeifahamu CCM vizuri anaweza kujifariji kutokana na ujinga wake.

Wapembuzi wa masuala ya kisiasa wanafahamu CCM ya mwaka 2020 itakuwa imara zaidi ya ile ya mwaka 20215.

CCM ni zaidi ya chama cha siasa na nikisema zaidi ya chama cha siasa katika siasa za Afrika watakaojua maana yake ni wale wanaojua maana ya chama dola.

Endeleeni kujifariji!
Nimekuelewa mkuu ,Tatizo lako litakuwa kiu ya Viroba vimefutwa mkuu jifunze kunywa maji kupooza koo sio kila kitu kinachohusu chama chako ujibu, Mchana ametoa prediction nini kinaweza tokea, Wewe unatoa povu jingi bila sababu
 
Nimekuelewa mkuu ,Tatizo lako litakuwa kiu ya Viroba vimefutwa mkuu jifunze kunywa maji kupooza koo sio kila kitu kinachohusu chama chako ujibu, Mchana ametoa prediction nini kinaweza tokea, Wewe unatoa povu jingi bila sababu
 
Back
Top Bottom