Kuna habari zimeenea mjini hapa Mkoani Kilimanjaro kuwa mfanyabiashara Maarufu wa mafuta na vipuri vya magari Anayemiliki kampuni Ya PANONE amefariki kwa kupigwa risasi mkoani Arusha bdo ni tetesi kama ni kweli wenye taarifa zaidi watujuze
Inasadikika wapo wote kibiashara na ni walikua marafiki na marehemu BABU SAMBEKEKwani hizi Panone si ni mali ya Riz1? Au ndio kafa?
Kama kafa huyo jamaa ni billionea wa ukweli kabisa.Naye ni billionea au?
ndo mambo ya utajiri wa Punje za mahindi au
badilisha heading "BILIONEA MWINGINE AFARIKI ARUSHA"
Kama kafa huyo jamaa ni billionea wa ukweli kabisa.
Mzee wa Rula, hizi zitakuwa ni tetesi tu!Kama kafa huyo basi kutakuwa na siri kubwa juu ya utajiri wa matajiri Arusha.