Wawili Watua Simba

Wawili Watua Simba

Kkiukweli mimi ni shabiki wa simba lakini nilitegemea kuwa usajili wa kwanza simba kwenye dirisha dogo ni golikipa lakini si kiungo kwani wapo wa kutosha. Dhaira hatabiriki kama mvua za vuli kuna siku yupo vizuri kuna wakati anakuwa kama shati. Huyo andrew ntalla kibadeni anajua kwa nini alaimsajili simba lakini sio kipa mwenye hadhi ya kuchezea simba. Yule dogo hashim abuu ni mzuri sana ila anahitaji kama miaka miwili ya uzoefu apate mechi za mara kwa mara atatisha. Kwa sasa simba inahitaji kipa mzoefu kwa hararka na kama sio chuki binafsi kaseja alitakiwa aendelee kuwepo simba then huyo dogo angemrithi vizuri.
 
ukweli huu hawautaki wenzio
Kkiukweli mimi ni shabiki wa simba lakini nilitegemea kuwa usajili wa kwanza simba kwenye dirisha dogo ni golikipa lakini si kiungo kwani wapo wa kutosha. Dhaira hatabiriki kama mvua za vuli kuna siku yupo vizuri kuna wakati anakuwa kama shati. Huyo andrew ntalla kibadeni anajua kwa nini alaimsajili simba lakini sio kipa mwenye hadhi ya kuchezea simba. Yule dogo hashim abuu ni mzuri sana ila anahitaji kama miaka miwili ya uzoefu apate mechi za mara kwa mara atatisha. Kwa sasa simba inahitaji kipa mzoefu kwa hararka na kama sio chuki binafsi kaseja alitakiwa aendelee kuwepo simba then huyo dogo angemrithi vizuri.
 
Zungumzia Ya Timu Yako ya KUBEBWA KIMBELEKO ( Yanga ) na Ya Simba Sports Club Tuachie Mwenyewe na Huo Usajili ni Mzuri mno kwani Simba ilihitaji Kiungo anayefanana na Mentor Wangu na Kipenzi Changu Kiungo wa Karne na Wa Rekodi Simba Suleiman Abdallah Matola ( Veron / Mzambia ) na Huyu Awadh Juma anahidhi na Atatusaidia Sana Kwani Hatuna Kiungo anayeweza Kumlisha Mipira na Kumchezesha Vizuri Amis Tambwe na Nina Uhakika Tambwe sasa Atakuwa Anacheka tu na Nyavu na Simba Pia tulikosa Wing Midfielder ambaye Anaweza Kupunguza Kijiji Kama Ilivyokuwa Kwa Emanuel Okwi na huyu Dogo Ally Badru ni Aina ya Okwi na atakuwa Anamchezesha Sana Betram Mwombeki Mbelwa. Simba hatusajili kwa Kukomoa au Sifa na Tunasajili Kwa Malengo na Mahitaji Muhimu na MTAIPENDA TU!


"Mwenyekiti huyo alikiri kuwa Ally Badru Ally waliyemsajili kutoka Suez Canal ya Misri hakuwapo kwenye mipango yao, lakini kwa sababu alikuwapo tu Dar es Salaam wanaamini kuwa atawasaidia katika ushambuliaji."....... nukuu toka kwa Mwenyekiti wa kamati ya usajili Simba kupitia gazeti la Mwanaspoti. Mchezaji anasajiliwa si kwa mahitaji ya timu bali kwa sababu yupo tu Dar es Salaam, ama kweli bongo bado lala!
 
ukweli huu hawautaki wenzio

ni kweli amavubi mara nyingi ushabiki unatufanya tuwe vipofu na ndio maana kila siku tunadanganywa mara uwanja bunju, mara sunderland, n.k. Yanga wamesajili wachezaji 2 haraka haraka rage naye anasajili 2 kutudanganya wakati ukweli kwa mtu anayejua mpira na aliyeiona simba mwaka huu anajua timu ni nzuri ila tatizo ni golikipa na makocha kwani timu haijulikani inacheza mfumo gani. Kocha amekaa na timu zaidi miezi miwili na ligi kacheza mechi 10 na bado anakwambia hajapata first eleven mara ohh timu hii naijenga ya miaka 2 ijayo. Simba ya msimu uliopita ilikuwa nzuri tatizo lilikuwa mabeki wa kati wao wakamtimua kaseja baada ya kusajili mabeki wazuri wa kati na kuleta shati jipya golini toka uganda.
 
ushabiki ni kazi sana
ni kweli amavubi mara nyingi ushabiki unatufanya tuwe vipofu na ndio maana kila siku tunadanganywa mara uwanja bunju, mara sunderland, n.k. Yanga wamesajili wachezaji 2 haraka haraka rage naye anasajili 2 kutudanganya wakati ukweli kwa mtu anayejua mpira na aliyeiona simba mwaka huu anajua timu ni nzuri ila tatizo ni golikipa na makocha kwani timu haijulikani inacheza mfumo gani. Kocha amekaa na timu zaidi miezi miwili na ligi kacheza mechi 10 na bado anakwambia hajapata first eleven mara ohh timu hii naijenga ya miaka 2 ijayo. Simba ya msimu uliopita ilikuwa nzuri tatizo lilikuwa mabeki wa kati wao wakamtimua kaseja baada ya kusajili mabeki wazuri wa kati na kuleta shati jipya golini toka uganda.
 
And RAGE got the GATE today!

kicked-out.jpg
 
Hivi mwenyekiti ndo husainisha wachezaji, sijawahi mwona manji akifanya kazi hiyo..... Eh tena nyumbani kwa mwenyekiti! Ofisini kunani?
 
"Mwenyekiti huyo alikiri kuwa Ally Badru Ally waliyemsajili kutoka Suez Canal ya Misri hakuwapo kwenye mipango yao, lakini kwa sababu alikuwapo tu Dar es Salaam wanaamini kuwa atawasaidia katika ushambuliaji."....... nukuu toka kwa Mwenyekiti wa kamati ya usajili Simba kupitia gazeti la Mwanaspoti. Mchezaji anasajiliwa si kwa mahitaji ya timu bali kwa sababu yupo tu Dar es Salaam, ama kweli bongo bado lala!

leo nimeelewa

  1. Kwanini this tiome around Rage ameamua kusajili mwenyewe, nadhani alikua anajihami kwamba oesa alizosajilia ndizo za malipo ya Okwi
  2. Kwa nini amesajili nyumbani; tayari alishanusa hamkani si shwari tena klabuni
  3. Kwa nn hakushirikisha kamati wala benchi la ufundi; kilikua kimeshanuka tayari
  4. kwa nini alisainisha Jumapili mchana, alijua nkikao cha usiku hakikua na muamana
 
Anajua psychology ya watu wa msimbazi ni ndogo sana ,katika kipindi hiki cha mapinduzi ni kuchonga deal na wachezaji na kupiga nao picha ,msimbazi kimyaaaaa
 
Anajua psychology ya watu wa msimbazi ni ndogo sana ,katika kipindi hiki cha mapinduzi ni kuchonga deal na wachezaji na kupiga nao picha ,msimbazi kimyaaaaa

kitaeleweka na kila mtu ataipenda simba
 
Hivi mwenyekiti ndo husainisha wachezaji, sijawahi mwona manji akifanya kazi hiyo..... Eh tena nyumbani kwa mwenyekiti! Ofisini kunani?

kweli mwenendo wa uongozi wa Rage sijaukubali kabisa
 
there is no redemption without the shedding of blood
 
Hivi mwenyekiti ndo husainisha wachezaji, sijawahi mwona manji akifanya kazi hiyo..... Eh tena nyumbani kwa mwenyekiti! Ofisini kunani?

soka la bongo ni majanga tu
 
ni vyema kuwa na mbadala, uko sahihi

Nashangaa watu walikuwa wanalalamika eti Yanga wanasajili kuwakomoa Simba,walivyoumia Tambwe,Kaze Simba haikushinda na kocha Kibadeni akatoa sababu wachezaji muhimu walikuwa majeruhi
 
Back
Top Bottom