mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 210
Kweli simba inahitaj kiungo mchezeshaji!simba ina viungo wengi tu hadi kibaden anachanganyikiwa,badru kweli tunahitaj mshambuliaji ila huyo mwingine ni upotevu au matumiz mabaya ya dirisha dogo la usajir,simba tunahitaj bek wa kat waje wawasaidie kina owino na kaze na sio blabala za mwenyekit anazoleta club na pia tunahitaji mshambuliaji wa maana na golikipa wasaidiane na watt waliopo sio tunasajil cos yanga wanasajil kuiga kwingine ni kubaya.