Wawili Watua Simba

Wawili Watua Simba

Kweli simba inahitaj kiungo mchezeshaji!simba ina viungo wengi tu hadi kibaden anachanganyikiwa,badru kweli tunahitaj mshambuliaji ila huyo mwingine ni upotevu au matumiz mabaya ya dirisha dogo la usajir,simba tunahitaj bek wa kat waje wawasaidie kina owino na kaze na sio blabala za mwenyekit anazoleta club na pia tunahitaji mshambuliaji wa maana na golikipa wasaidiane na watt waliopo sio tunasajil cos yanga wanasajil kuiga kwingine ni kubaya.
 
Hivi matatizo yetu Simba ni viungo? Hatuna forward ya maana, na walinzi wa kutegemea!

Huyu Rage asijichukulie madaraka ya KIbaden. Aaaaaaagh, Simba inapofungwa tunaumia sie bana...
 
mimi ni mshabiki wa simba laki kwa sasa siiungi mkono, nakerwa na ismail aden rage.
anayewatilisha saini wachezaji apaswa kuwa mwanasheria wa klabu sasa huyu msomali sijui vipi tena.
 
Jumaaaa+%283%29.jpg
 
Kweli simba inahitaj kiungo mchezeshaji!simba ina viungo wengi tu hadi kibaden anachanganyikiwa,badru kweli tunahitaj mshambuliaji ila huyo mwingine ni upotevu au matumiz mabaya ya dirisha dogo la usajir,simba tunahitaj bek wa kat waje wawasaidie kina owino na kaze na sio blabala za mwenyekit anazoleta club na pia tunahitaji mshambuliaji wa maana na golikipa wasaidiane na watt waliopo sio tunasajil cos yanga wanasajil kuiga kwingine ni kubaya.

Mwacheni Rage aitwe RAGE (MCHAFUZI)
 
mimi ni mshabiki wa simba laki kwa sasa siiungi mkono, nakerwa na ismail aden rage.
anayewatilisha saini wachezaji apaswa kuwa mwanasheria wa klabu sasa huyu msomali sijui vipi tena.
Rage ni janga Simba
 
Rage hana mpinzani ktk soka ila anakwamishwa na wasiojua mpira ndani ya TFF.
 
Zungumzia Ya Timu Yako ya KUBEBWA KIMBELEKO ( Yanga ) na Ya Simba Sports Club Tuachie Mwenyewe na Huo Usajili ni Mzuri mno kwani Simba ilihitaji Kiungo anayefanana na Mentor Wangu na Kipenzi Changu Kiungo wa Karne na Wa Rekodi Simba Suleiman Abdallah Matola ( Veron / Mzambia ) na Huyu Awadh Juma anahidhi na Atatusaidia Sana Kwani Hatuna Kiungo anayeweza Kumlisha Mipira na Kumchezesha Vizuri Amis Tambwe na Nina Uhakika Tambwe sasa Atakuwa Anacheka tu na Nyavu na Simba Pia tulikosa Wing Midfielder ambaye Anaweza Kupunguza Kijiji Kama Ilivyokuwa Kwa Emanuel Okwi na huyu Dogo Ally Badru ni Aina ya Okwi na atakuwa Anamchezesha Sana Betram Mwombeki Mbelwa. Simba hatusajili kwa Kukomoa au Sifa na Tunasajili Kwa Malengo na Mahitaji Muhimu na MTAIPENDA TU!
 
Hivi matatizo yetu Simba ni viungo? Hatuna forward ya maana, na walinzi wa kutegemea!

Huyu Rage asijichukulie madaraka ya KIbaden. Aaaaaaagh, Simba inapofungwa tunaumia sie bana...

Kwani Amis Tambwe na yule mwenzake yuleee Mwombeki vipi tena sio washambuliaji wale??
 
Anatekeleza matakwa ya benchi la ufundi!!! sio kama kina Magari wanaokurupuka!subirini raundi ya pili! Ndo mtajua Yanga ilikuwa inamuhitaji Kaseja au ilitakiwa izibe ule uchochoro wa canavarro?
 
rageeee.....simba mlie tu hapo hamna mwenyekiti,
Mbona nyie mlikuwa na mashati mawili golini na sasa mmeongeza la tatu linaitwa Kaseja na hatusemi?Subirini raundi ijayo!!Raundi ya kwanza mliruhusu yakarudi Ma 3, Raundi ijayo lazima msamba uchanwe!!!
 
Wapemba na mpira wapi na wapi bhana? Ni Chollo na Canavaro tu ndio walijaaliwa bahati hiyo.
Aggrey Morris je? Khamis Mcha (Vialli)? Mwadini Juma? Au unakusudia Pemba kwa maana halisi ya kisiwa cha pili cha ukubwa kwa Zanzibar? Sidhani kama kwa hilo unaweza kuwatambua yupi katoka kisiwa kipi.
 
Back
Top Bottom