Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,184
- 4,538
Mi 11Ooooh Owkay nimekupata vyema, naona kwa sasa Redmi note zimefika note 10 pro, vipi kuhusu MI imefikia note gani kiongozi...?
Mi 11Ooooh Owkay nimekupata vyema, naona kwa sasa Redmi note zimefika note 10 pro, vipi kuhusu MI imefikia note gani kiongozi...?
Mi 11
Umeongea kauli nzuri sana kiongozi je utaipenda redmi 7aKama umeichoka simu yako au una simu upo nayo na uitumii basi naomba unipe mi nikupe ela ya mafuta 150,000.tsh.maana sio kuniuzia bali kama utakuwa tu unanisaidia.kwa mtu yoyote mwenye simu kali ila ameamua kunipa tu basi nicheki kwa namba 0652868486
njoo uchukue Nokia 2Kama umeichoka simu yako au una simu upo nayo na uitumii basi naomba unipe mi nikupe ela ya mafuta 150,000.tsh.maana sio kuniuzia bali kama utakuwa tu unanisaidia.kwa mtu yoyote mwenye simu kali ila ameamua kunipa tu basi nicheki kwa namba 0652868486
View attachment 1777191nakuuzia camon16 hio kwa 280,000 tu
Niko Shinyanga
Ishatoka zamani tu na bila laki 5 huipatiHivi camon 16 premiere imeshatoka aisee...?
Ishatoka zamani tu na bila laki 5 huipati
Ndio hio mkuu. Camon 16 premierNa hiyo ndio brand ya juu kwa Camon au ipo ya juu zaidi ya hiyo...?
Siku si nyingi utasikia camon 18Hapana wameshatoa camon 17 timu toa toa
Available used Abroad
iPhone Xr
Storage 64GB
Battery health 91%
Clean as new
Black ️
Tsh 900,000/=
SA______STOCK
6 Months warranty
0714 981607
0758 294766
Relax; Free delivery around the city
#0714981607 View attachment 1765808
View attachment 1765809
View attachment 1765810
SAMSUNG S6 EDGE
INA CRACK AMBAZO HAZINA MADHARA
HAZIONEKANI SANA
CAMERA SAFI
FINGERPRINT
FACE UNLOCK
ROM 32
LOCATION: DAR KIMARA-SUKA
PRICE : 170K
0654224700View attachment 1758674
Mwenye iphone 6s plus GB 64 bei nzuri aje tuongee biashara
Kwanini ununue simu ya zamani ivo mkuu,, nini hasa unakitaka? Simu ya 2015Hiv wakuu s6edge zinachezaje huko kitaa