mchushi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 216
- 98
Kuna galaxy J5 full box hapa around 350k uko wapi tufanye biashara chief?Ushauri nisaidieni Nahitaji simu bajeti yangu NI 250000 mpaka 300000 tecno Hapana
Kuna galaxy J5 full box hapa around 350k uko wapi tufanye biashara chief?Ushauri nisaidieni Nahitaji simu bajeti yangu NI 250000 mpaka 300000 tecno Hapana
kuna iphone 6 mpyaa yn haija ata chembe la mchbuko...imetumika wiki na cku 1....internal 64 gb.....bei 750k
Ina kwenda bei gani ndugu?.Mimi mwenyewe nilikuwa na hitaji.kuna mtu anayo
pics pleaseY3+ imetumika miez miwil bei 60000/-
nina 200 cash mkuuIphone 5 inauzwa 250 tu ! Nicheki PM
Hapana mkuunina 200 cash mkuu