The Emils
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 568
- 124
Mkuu hapa umenena maana watu wengine inaonekana wanataka kuona watu walele wakileta hoja zao humu... Mimi ningekuwa Jk naomba substution tu maana sio lazima amalze miaka yote 5 atakufa huyu mzee nchi imemshinda..ni ujinga kuangalia join date za watu! Inamaana hautaki jamii forum ipate member wengi? Hoja yake ipo pouwah sema wewe inakukera tu.