Tumezoea kusikia wanasiasa wa chama tawala CCM wakishutumu chama cha Demokrasia na Maendeleo CDM kuwa ndicho kinachochea migomo vyuo vikuu. Naomba kuuliza, hawa wauza mafuta waliogoma nao wameshinikizwa na chadema?
Ningependa sana wana CCM wenzangu mnijibu.
Nawasilisha
Ningependa sana wana CCM wenzangu mnijibu.
Nawasilisha