and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,104
Nashauri wauza kitimoto wote wasajiliwe na Halmashauri husika. Ili kuboresha huduma na mazingira ya usafi zilipo ofisi za wauza kitimoto
Kwa kweli ni haramu ila tamu si ndioUnataka kuhalalisha haramu?? ILE NI HARAMU HATUTAKI KUNAJISI DINI ZA WATU. Ihallalishwe Moshi, Arusha na Mbeya tu.
Sawa mkuu mambo ya rizki tu, si unajua!Dah nilitaka nikupe kazi Zenji uje kujenga villa ila ndo basi tena
Kama Ma-MC tuNdio tusajiliwe wauza "Mdudu"
Hizi ni hujuma za kutaka kuondoa kitimoto mtaani.Nashauri wauza kitimoto wote wasajiliwe na Halmashauri husika. Ili kuboresha huduma na mazingira ya udafi zilipo ofisin za wauza kitimoto
Mwezi huu biashara Itakua mbaya ajabuHizi ni hujuma za kutaka kuondoa kitimoto mtaani.
Huo ugonjwa ni zoonotic?Kwakuongezea tu,kwasasa kuna ugonjwa wa kitimoto katika baadhi ya maeneo Mbeya,mlaji ongeza umakini
Si haramu kwa wote!Unataka kuhalalisha haramu?? ILE NI HARAMU HATUTAKI KUNAJISI DINI ZA WATU. Ihallalishwe Moshi, Arusha na Mbeya tu.