Wauswazi wenzangu, mnakumbuka matani? Twende, twendee, twendeee

Mikono mirefu hadi unaomba chenji kwenye ndege
Mdomo mkubwa vitumbua unakula kama karanga
 
Kichwa kikubwa utafikili diaba la maji.twendetwendeee.ila mi ilikuwa sipendi coz some yalikuwa ya kweli.
 
Twende twendee kichwa kama tofali!!
Twendee twendeee mpana kama pazia la sinema.....!kwa vile nilikuwaga kitoto flan kineneeee nikishapewa hii naachia bonge la kilio lol!
 
Pua kama ncha ya bamia!.........macho kama fundi saa kapoteza nati
 
nini! nini! nini!
Nywele kaa mkutano wa nzi, twende,twende, ulisikia sikukuu ya watoto ukavaa nepi, ****** juu juu kaa breki ya fire.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom