Waungwana msaada nimekwama.

wewe unadanganywa acha utoto wako, hakuna bikira hapo:yell:
 
sawa kabisa, coz gari jipya halihitaji dereva mpya. linahitaji dereva mzoefu. au nakosea mwali, coz dereva mpya asiye na uzoefu ataligongesha fasta na kulihalibu mapema. bikra inabidi apate mwnaume mzoefu....,

haya, umejieleza na umeeleweka (lakini sijakubaliana nawe)
hili jibu la kijasiri sana ina maana wewe Mwali huogopi hata hii avatar?
 
Sikia Ngonepi,acha utoto..we ukiingia nae ndani force kijana mwenyewe utaskia anasema utamuu utamuuu utamuuu..naskia rahaa haaaa........
 
mimi ndie nilimroga akawa na huo mdomo maana alitaka kunionea. lol
safi sana, umemjibu vizuri sana! mimi na mwali kama fisi na mifupa, na akome kushadadia yasiyomhusu!..lol
 
ni jana tu mwenzangu kadanganywa ila kama ni kweli, ushauri mzuri katoa jamaa hapo juu
 

Unautafuta UKIMWI kwa nia zote? huyo hataki kukupa kwa kuwa ni muathirika, achana nae kimbia haraka sana na usifanye mapenzi nje ya ndoa, ni HATARI.
 
BADILI TABIA umesema sawasawa kabisa

Ajitunzie kisoda chake kwaajili ya mume wake, na itampa heshima kubwa kwenye ndoa yake
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…