MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 710
Wadau
Napata shida kuelewa, jambo hili linanitiza.
Unakuta mtu anaingia humu ndani na kuuliza swali ambalo hajalifanyia utafiti wa kina. Mtandao mzima wa Intaneti ni darasa tosha. Ukiwa na shaka unaingia na kufanya utafiti. Kuna "browser" kama vile Firefox, ambayo inakupa nafasi ya kuuliza swali au kufanya utafiti kwenye wavuti mbalimbali kama vile Google.
Mtu anakurupuka huko anakuja na swali badala ya yeye mwenyewe kulifanyia kazi; au Watanzania tumezoea kutafuniwa na kumezewa kila kitu bila ya sisi kuanza kutafuta chakula?
Au huu kweli ni uvivu wa kufikiria? Hebu nielimisheni. Limenishinda.
Napata shida kuelewa, jambo hili linanitiza.
Unakuta mtu anaingia humu ndani na kuuliza swali ambalo hajalifanyia utafiti wa kina. Mtandao mzima wa Intaneti ni darasa tosha. Ukiwa na shaka unaingia na kufanya utafiti. Kuna "browser" kama vile Firefox, ambayo inakupa nafasi ya kuuliza swali au kufanya utafiti kwenye wavuti mbalimbali kama vile Google.
Mtu anakurupuka huko anakuja na swali badala ya yeye mwenyewe kulifanyia kazi; au Watanzania tumezoea kutafuniwa na kumezewa kila kitu bila ya sisi kuanza kutafuta chakula?
Au huu kweli ni uvivu wa kufikiria? Hebu nielimisheni. Limenishinda.