hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
wee acha tu ndugu yanguHahah daah umetisha sana.
wee acha tu ndugu yanguHahah daah umetisha sana.
Kabisa ..huwezi kucompare na huo mjengo ..kama meli bwanaNo wonder wanyonge hua wanasema 'namalizia kibanda changu nihamie',kweli vinakuaga ni vibanda aisee.
Niambieni usanii wake ni upi? alishazalisha mke wa mtu,alishaua watu? alishatembea na waumini zake? alishavaa pete za ajabu? alishalewa hadharani?
Naomba nisamehewe kama nimekwaza watu ni mawazo yangu tu! na mm ni mkatoliki saafi!
Ahsanteni
Bulldozer ana kimeo gani?Mkuu Maisha popote
Ni kweli umemkwaza bwana Bulldozer, Mheshimiwa sana...Josep (Pep) Gwajima, na mzee wetu wa upako Antonio Lusekelo
Hata hivyo, umesamehewa kama ulivyokwisha tangulia 'kukiri kosa' lako.
Nachelea kusema hujamwekewa ndugu Maisha popoteUna roho ya ki-maskini na hujui wokovu.
MUNGU ana kila kitu ila alipewa sadaka na Habili na kaini.
Mungu ameumba vitu vyote, fedha na dhahabu ni vyake lakini bado tunamtolea.
Elewa, zawadi na sadaka ni appreciation na si kumpa mtu kwakuwa hana.
Mungu ameagiza kutoa, na hapo ndipo ananpopimwa mwanadamu uaminifu wake , "Anania na Safira walidanganya kuhusu kiwanja walichouza na Walikufa" Mungu aliwapima uaminifu na si kwamba alitaka fedha toka kwa anania na Safira.
Umesema kweli kabisaKwa Kuongezea hapo kwenye upigaji,na mengineyo!
1.Ameanzisha kanisa mwaka 1989 akiwa na waumini 13
2.Ana makanisa zaidi ya 1000 Tanzania yote
3.Sadaka huwa haikatwi kodi
4.Ana kanisa na waumini zaidi ya 5000 nchini Korea kusini na yeye ni maarufu mno
5.hakuna mchungaji yoyote wa kiroho,labda umtoe Moses Kulola (Marehemu) anayeheshimika na waumini kama Kakobe,na kupendwa nao
6.TRA walimkuta na sh Bilioni nane cash Bank zenye maelezo yaliyonyooka, ikabidi TRA wamchunguze mke,watoto, au ndugu zake kwa kushirikiana na TISS kama wana biashara ingine
7.kuna Kitu Kinaitwa Imani, Ukiacha TAG ya moses Kulola hakuna kanisa lingine la kiroho linamkuta Kakobe kwa waumini Tanzania...na hawa waumini wanayoa sadaka,na sadaka zinagawanywa kati ya wachungaji, na familia ya kakobe...
Hitimisho: Angeamua Kuishi kama wachungaji wengine wanavyoishi, nigeria,us au uk wale wachungaji wa kinegiria au kina bushiri ningepata mashaka nae..
ila kama unajitambua...ukimuangalia KAKOBE na hawa wachungaji wengine wa Kiroho unamuona kabisa yeye ni wa tofauti kabisa....
Ukiambiwa KAKOBE umlinganishe na hawa wachungaji wengine wa kiroho utamlinganisha na nani? mimi Labda Moses Kulola...na Mwakasege (japokua mwakasege ni mwalimu)
Niambieni usanii wake ni upi? alishazalisha mke wa mtu,alishaua watu? alishatembea na waumini zake? alishavaa pete za ajabu? alishalewa hadharani?
Naomba nisamehewe kama nimekwaza watu ni mawazo yangu tu! na mm ni mkatoliki saafi!
Ahsanteni
Kweli kuwa uyaone.
Hapa Askofu Zachary Kakobe akitoa msaada kwa wafungwa katika mojawapo gereza kuu nchini Burundi.
Tazama video ya Askofu Zachary Kakobe akiwa gerezani kupitia link hii ya YouTube
Wakuu tuzungumze tukiwa na uhakika na siyo kuandika kila unachowaza hata kama ni UTOPOLO !
Yaani atafia pazuri mchunga kondoo...watu wana bahati eeh..!!😱😱🙉🙉Hahah thnxs kwa picha mkuu,hilo ni hekalu aisee,no wonder mzee baba walimpa bonge la funguo hahah.
Mchunga kondoo amestaafia pazuri sana aiseee.
deep sana hii..deep sanaWaumini wake wamenyong'onyeaaaa kama wanaumwa.
Wako full radicalized aisee.
Katika maisha haya kuna vitu ni underated sana.
Uhuru wa fikra ( hasa ukidhibiti njaa ), Utu, na
Kujitegemea kimawazo
Japo ninachojua pale ni Makao makuu ya FGBFT na Kituo cha Radio na Televisheni... Nyumba aliyopewa ipo Kijitonyama kwa Ali Maua jirani na Hoteli ya Mesuma au Salma Kikwete Sec. Au kituo cha polisi Ally Maua... nikipata Muda nitawaletea picha...Hiyo nyumba nadhan naijua. Ni kasri kubwa balaa.
Ipo junctiin ya rainbow mbezi chini, next to GBP petrol station.
Hiyo kighorofa ni balaa kubwa. Jioni nitakipiga kapicha aisee
View attachment 1641269View attachment 1641270View attachment 1641271View attachment 1641272View attachment 1641273View attachment 1641274
Daaah mkuu hii comment yako imefanya nitafakari sana aisee.....!Mchungaji akiwa hana Nyumba /gari
Tuna mchangia
Muumini akiwa hana Nyumba /gari Tunamfanyia maombi ili apate
Hii dunia imejaa wapumbavu sana
Wanawake zetu wanamalizia fedha huko kwa wachungaji badala wasome neno na wajue wanalopaswa kufanya mbele za Mungu na si kwa wandamuDaaah mkuu hii comment yako imefanya nitafakari sana aisee.....!
Ndio hivyo mkuu ..wonders shall never endsDaaah mkuu hii comment yako imefanya nitafakari sana aisee.....!
Sawa mkuu, inawezekana.Japo ninachojua pale ni Makao makuu ya FGBFT na Kituo cha Radio na Televisheni... Nyumba aliyopewa ipo Kijitonyama kwa Ali Maua jirani na Hoteli ya Mesuma au Salma Kikwete Sec. Au kituo cha polisi Ally Maua... nikipata Muda nitawaletea picha...
"6.TRA walimkuta na sh Bilioni nane cash Bank".Kwa Kuongezea hapo kwenye upigaji,na mengineyo!
1.Ameanzisha kanisa mwaka 1989 akiwa na waumini 13
2.Ana makanisa zaidi ya 1000 Tanzania yote
3.Sadaka huwa haikatwi kodi
4.Ana kanisa na waumini zaidi ya 5000 nchini Korea kusini na yeye ni maarufu mno
5.hakuna mchungaji yoyote wa kiroho,labda umtoe Moses Kulola (Marehemu) anayeheshimika na waumini kama Kakobe,na kupendwa nao
6.TRA walimkuta na sh Bilioni nane cash Bank zenye maelezo yaliyonyooka, ikabidi TRA wamchunguze mke,watoto, au ndugu zake kwa kushirikiana na TISS kama wana biashara ingine
7.kuna Kitu Kinaitwa Imani, Ukiacha TAG ya moses Kulola hakuna kanisa lingine la kiroho linamkuta Kakobe kwa waumini Tanzania...na hawa waumini wanayoa sadaka,na sadaka zinagawanywa kati ya wachungaji, na familia ya kakobe...
Hitimisho: Angeamua Kuishi kama wachungaji wengine wanavyoishi, nigeria,us au uk wale wachungaji wa kinegiria au kina bushiri ningepata mashaka nae..
ila kama unajitambua...ukimuangalia KAKOBE na hawa wachungaji wengine wa Kiroho unamuona kabisa yeye ni wa tofauti kabisa....
Ukiambiwa KAKOBE umlinganishe na hawa wachungaji wengine wa kiroho utamlinganisha na nani? mimi Labda Moses Kulola...na Mwakasege (japokua mwakasege ni mwalimu)
Niambieni usanii wake ni upi? alishazalisha mke wa mtu,alishaua watu? alishatembea na waumini zake? alishavaa pete za ajabu? alishalewa hadharani?
Naomba nisamehewe kama nimekwaza watu ni mawazo yangu tu! na mm ni mkatoliki saafi!
Ahsanteni
"6.TRA walimkuta na sh Bilioni nane cash Bank".
Aliyeelewa hapo juu tafadhali msaada tutani.
Mansionpicha ya nyumba ikitumwa naomba mnitag.