Al-kindy
Member
- Nov 11, 2017
- 33
- 14
Mhhh waonekana waijua kz mkuuKumbe waijua ladha yao
Basi wacha ntafute mwingine
Mhhh waonekana waijua kz mkuuKumbe waijua ladha yao
Basi wacha ntafute mwingine
Hiyo huduma ya bure haijawahi muacha mtu hivi hivi salamaSijawai kua na mume wa mtu! Hua namuonea huruma mkewe... Alitokega mbaba fulani akanionea huruma mimiakaishia kua ananihudimia tu bila sex...

Ila kiukweli mke wa mtu ni mtamu sana kwa mume wa mtu kwani mkiachana jioni kila mtu na hamsini zake kila mmoja anakuwa analinda ndoa hampigiani sim bila utaratibu au usumbufu kulinda mahusiano ya mchepuko wake na ndoa at the same timeSijawai kua na mume wa mtu! Hua namuonea huruma mkewe... Alitokega mbaba fulani akanionea huruma mimiakaishia kua ananihudimia tu bila sex...
Nawewe hukumuonea huruma asee!Sijawai kua na mume wa mtu! Hua namuonea huruma mkewe... Alitokega mbaba fulani akanionea huruma mimiakaishia kua ananihudimia tu bila sex...
Dhambi hiyo.Tina; wewe ni Mke wa Mtu?Ila kiukweli mke wa mtu ni mtamu sana kwa mume wa mtu kwani mkiachana jioni kila mtu na hamsini zake kila mmoja anakuwa analinda ndoa hampigiani sim bila utaratibu au usumbufu kulinda mahusiano ya mchepuko wake na ndoa at the same time
Usikariri mkuu Tina ni kifupi cha jina langu kwa kiluga mimi ni shababi la anarii mwanammeTina; wewe ni Mke wa Mtu?
Basi nitunzie mie hiyo mashineKwann nikimbilie huko
Bahati mbaya wanaosema waume za watu ni dili wao bado hawajaolewa na wanashinda kwa waganga kuomba waolewe.Heshima kwenu mabibi na mabwana,
Kwanza kabisa amani iwe nanyi popote mlipo,
Siku ya J5 nalikuwa Chamwino, ktk pilika pilika zangu za hapa na pale nikakutana na Mwana mama mmoja hivi mpole kwa kumtizama lkn mambo yake mchina atasubiri
Alikaribisha vyema kweli kwa nyama ya mbuzi na kileo kidogo, basi ilikuwa shangwe tu, ktk story zote alinistajaabisha kunambia "Mwanangu wanaume ni wadudu, si wa kuwaonea huruma hata kidogo, hawafai kuwa makini na wadudu hawa"
Akaendelea, "Ukimpata mume wa MTU usimwache ni bidhaa adimu, achana na ambao hawajaoa ni Padua kichwa, mpango mzima ni waume za watu, kumbuka hili na uweke akilini" mwisho wa nukuu:
Aiseee wenye uzoefu na waume za watu hebu waje wathibitishe kauli ya mwana mama huyu mwenye umri 55 na zaidi,
jinsia za watu wa jf huwa zinabadilika kutokana na story?Wewe jinsia gan kwanza?
kwani wewe hupendi sex?Sijawai kua na mume wa mtu! Hua namuonea huruma mkewe... Alitokega mbaba fulani akanionea huruma mimiakaishia kua ananihudimia tu bila sex...
Imeniacha salama! Tushapotezana na mtu mwenyeweHiyo huduma ya bure haijawahi muacha mtu hivi hivi salama![]()
Unaanzaje kuonea huruma hela labda?Nawewe hukumuonea huruma asee!Dhambi hiyo.
Weee! Napenda kuliko chakula chenyewe... Hakutaka nikuza akilikwani wewe hupendi sex?
Tutajuaje siye tulikuwepo maneno mdomoni lakini rohoni ukweli wooteeImeniacha salama! Tushapotezana na mtu mwenyewe
He hehehehe alikudhulumu thenWeee! Napenda kuliko chakula chenyewe... Hakutaka nikuza akili