Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Sina...Una mume?
Sina...Una mume?
Kajiweke kwa mume wa mtuSina...
HeUna mume?
Hahaaaa! Ngoja niandae hela ya matuzo.Haya nirime
Afadhli wajua majukumu yako, ndo uzuri wa waume za watu wanajielewa sanaHahaaaa! Ngoja niandae hela ya matuzo.
Ww vipi ushajiweka mwenzangu!?Kajiweke kwa mume wa mtu
Mbadala wa adimu ni bwerere.Sidhani kama bidhaa adimu maana wanapatikana kirahisi sana kuliko ambao wapo single, tafuta neno lingine mbadala na "adimu"
Ha ha haa neno sahihi kabisa!Mbadala wa adimu ni bwerere.
Mambo ya onisigala hayo.
Hyo avatar ni ww auSidhani kama bidhaa adimu maana wanapatikana kirahisi sana kuliko ambao wapo single, tafuta neno lingine mbadala na "adimu"
Ha haaaa hata mi sijuiHyo avatar ni ww au
Jinsia yako inaonekana kuwa na utataHeshima kwenu mabibi na mabwana,
Kwanza kabisa amani iwe nanyi popote mlipo,
Siku ya J5 nalikuwa Chamwino, ktk pilika pilika zangu za hapa na pale nikakutana na Mwana mama mmoja hivi mpole kwa kumtizama lkn mambo yake mchina atasubiri
Alikaribisha vyema kweli kwa nyama ya mbuzi na kileo kidogo, basi ilikuwa shangwe tu, ktk story zote alinistajaabisha kunambia "Mwanangu wanaume ni wadudu, si wa kuwaonea huruma hata kidogo, hawafai kuwa makini na wadudu hawa"
Akaendelea, "Ukimpata mume wa MTU usimwache ni bidhaa adimu, achana na ambao hawajaoa ni Padua kichwa, mpango mzima ni waume za watu, kumbuka hili na uweke akilini" mwisho wa nukuu:
Aiseee wenye uzoefu na waume za watu hebu waje wathibitishe kauli ya mwana mama huyu mwenye umri 55 na zaidi,
Halafu kabla ya leo nilikuwa najua ni Mwanaume. Kumbe ni - ke !!Jinsia yako inaonekana kuwa na utata

Heshima kwenu mabibi na mabwana,
Akaendelea, "Ukimpata mume wa MTU usimwache ni bidhaa adimu, achana na ambao hawajaoa ni Padua kichwa, mpango mzima ni waume za watu, kumbuka hili na uweke akilini" mwisho wa nukuu:
Mume wa mtu au mume wa mtu aliye na pesa?
Hahahahaha duYupo sahihi kabisa. Sisi ni bidhaa adimu, anayetaka kuprove ajaribu kwangu
Yeah, wanajuaWw vipi ushajiweka mwenzangu!?
Kumbe waijua ladha yaoWaume za watu hawasumbui! Yaani unaenjoy experience ya kua single na kua kwenye relationship pamoja
Sijawai kua na mume wa mtu! Hua namuonea huruma mkewe... Alitokega mbaba fulani akanionea huruma mimiKumbe waijua ladha yao
Basi wacha ntafute mwingine


akaishia kua ananihudimia tu bila sex...