Sauti ya manka ishakufa sasa ana higer ndio zaenda hukoSiku hizi hakuna basi zinazotembea...
Mabasi ya huko kusini yalikuwa yanatembea enzi za kina Kiswele, Kwacha, Matema, Hood...Kiswele huyu ashawahi fika Dar saa saba mchana toka Mbeya/Kyela (enzi hizo stendi zipo town)
Kidogo na juzi juzi hapa walipokuja kina Happy Nations, Nganga na wale Majinjah, sijui hali zao siku hizi zipoje...mara ya mwisho Happy Nation kuipanda ile ya Tunduma-Dar ilifika Dar saa tisa kasoro hivi alasiri
Utahamaje na makato mengi kwenye miamala kaa hapa hapa tuteseke pamojaSihami bongo
Kapiga picha na staa hana loloteBasi hapo askari wa usalama anajiona jembe balaa.......watu wanachomeana sana humu barabarani yote hii ni roho za kimasikini tu zimetutawala
akae tupamane wote na mateso ya CCMUtahamaje na makato mengi kwenye miamala kaa hapa hapa tuteseke pamoja
upo sahihi. hata boat ya bakheresa kilimanjaro seven inatumia engine ya cummins.Mjomba unajua hio engine ya cummins watu wanaichukulia poa sana ila huyo ni mmarekani halisi hizo engine zipo kwenye magenerator makubwa i.e FGwilson, hata engine za meli zingine ni Cummins Service Kit zake ime Major Service Kit zinafika USD 15,000
Kimeumanaaaaah tena?
Keshakua maarufu wanataka.kumuona tuKimeumanaaaaah tena?
Mshaurini haka ka'umaarufu' akatumie kutafutia kazi nje..Keshakua maarufu wanataka.kumuona tuView attachment 1860703
Kweli aende hata Zambia akasukume Chuma za Lusaka-Harare-Joberg-Windhoek kwenye Power Tool,Juldan Motors.Mshaurini haka ka'umaarufu' akatumie kutafutia kazi nje..
Ndiyo mkuu asizeekee tu bongo! akafungulie wenzake milango pia..Kweli aende hata Zambia akasukume Chuma za Lusaka-Harare-Joberg-Windhoek kwenye Power Tool,Juldan Motors.
Akasukume vitu kamba hivyo!Kweli aende hata Zambia akasukume Chuma za Lusaka-Harare-Joberg-Windhoek kwenye Power Tool,Juldan Motors.
Ana kila kigezo Cha kupata kazi huko. Labda awe anapenda kukaa bongo maana kuishi ugenini upweke. Bongo ukiwa alwatan full kupata ofa za nyama,beer na bebez.Ndiyo mkuu asizeekee tu bongo! akafungulie wenzake milango pia..
Hii higer ndiyo imekusuma uite zingine takataka?Kuna chuma cha Arusha-Dar ..MALAIKA EXPRESS siyo powa wazee achaneni na hizo takataka zingine.
Keshakua maarufu wanataka.kumuona tuView attachment 1860703
Hao ndio madereva sasaNaona wachina watampa nyota
Nakumbuka mwaka 2016 nilikuwa naenda songea nimepanda newforce kuna davoo mmoja white mrefu na mmoja mweusi anatatoo mkono wa kulia unachata ya nanga au scorpion chombo ilikuwa ile siku sisahau chombo ilipigwa mguu